"HOUSE BOY" 15



TULIPOISHIA.
Katika sehemu ya Kumi na 14 tuliishia pale baada ya Mzee Kimola kushika simu yake na kumpigia moja kwa moja Mzee James Esau.

ENDELEA.......

""""Mzee Kimola aliona awapige picha kwanza Mama Amina na Lauson bila wao kujua, kisha akawa amempigia Mzee James simu iliita kwa mda ikawa imepokelewa,sauti ilisikika upande wa pili,Mzee James Hallo! Mzee Kimola Habari yako? Mzee Kimola alijibu salama bana, uko wapi ndugu yangu Mzee Kimola aliuliza.

"""'"Mzee James alimjibu niko nyumbani saivi nimesha toka kazini,niambie ndugu yangu upo njiani unakuja kuniona au? Mzee Kimola alitabasamu kidogo akasema hapana ndugu yangu ila kuna mtu nimemuona hapa katika gesti ya" Kibalo" kafanana sana na mke wako kwa kila kitu hadi kutembea, akamuuliza kwani mke wako yupo hapo nyumbani?.

""''"Mzee James alijibu akisema hamna hayupo hapa yumbani nilimuacha njiani baada ya kuniambia kuwa anapita kwa rafiki yake kumuona, na ameniambia rafiki yake huyo alikuwa amelazwa hospitalini kwaiyo kipindi alipokuwa hospitalini hakufanikiwa kwenda kumuona, ndio leo amepata mda wa kwenda kumuona na kumfariji aliongea hivyo Mzee James akimmwambia Mzee James maneno aliyoambiwa Na Mke wake wakati wakiwa njiani kuja nyumbani.

"""Mzee Kimola baada ya kusikia maneno hayo kutoka kwa Mzee James, aliona labda atakuwa amemfananisha akaona apotezee tu, kwani hakutaka kuwagombanisha wanandoa hao waliodumu katika ndoa yao kwa zaidi ya miaka 25.

"""""Mzee James kwakuwa alikuwa akimwamini sana mke wake alijua kuwa huyo mtu Mzee Kimola aliyemfananisha na mke wake atakuwa siyo yeye, kwani alijuwa mke wake hawezi kumsaliti kwa kuweza kutembea na mwanaume mwingine wakati yeye yupo na ukizingatia Mzee James aliona Mke wake anampenda sana na kumpa kila anachokitaka, ila hakujua kama Mke wake anatembea na Lauson.

""""Mzee Kimola kichwani kwake alikuwa akijiuliza maswali mengi sana juu ya mtu aliyemuona aliyefanana copyright na Mama Amina, ila kwakuwa Mzee James alimkatalia akisema kuwa Mke wake hawezi kufanya hivyo.

""""Mzee Kimola ilibidi aanzishe mada nyingine waliendelea kupiga stori kwenye simu baada ya maongezi yao kuisha waliagana kisha simu ilikatwa, picha ile Mzee Kimola aliyowapiga Mama Amina na Lauson wakitembea huku wakiwa wameshikana mikono hakuifuta kwani aliamini ipo siku moja inaweza kutumika kama ushahidi .

"'''Katika wakati huo Mama Amina na Lauson walikuwa njiani wakienda nyumbani huku wakipiga stori njia nzima na kukumbushana mambo waliyoyafanya huku kila mmoja akimsifia mwenzake huku walipongezana kwa kazi kubwa waliyoifanya kwa kutoana hamu na wote Kulizishana wakati wakifanya mapenzi.

"""Mama Amina alimwambia Lauson aachane na vitoto vidogo Kama Mtoto wake "Amina" akimwambia"""Lauson unatembeaje na kitoto kidogo kama kile wakati mimi nipo na mimi nakupa kila kitu unachokitaka" Mama Amina aliendelea kusema kuwa'Amina yule anakupaka shombooo tu achana nae Mpenzi,Mimi nipo hapa na nitakuwa nakupa kila kitu utakachokuwa unakitaka.

""""""Mama Amima alichomoa elfu themanini kutoka kwenye Pochi yake na kumkabidhi Lauson akimwambia chukua hii Pesa utaitumia kwa matumizi yako, Lauson alimshukuru Mama Amina kwa kumbusu shavuni kwake akimwambia asante "Mama wangu".

""""Mama Amina alimgeukia Lauson kwa hasira akamwambia" Lauson unajua kama Mimi sipendi unavyoniita Mama" alisisitiza akisema yani mimi sipendi kabisa na nachukia sanaa wewe ukiniita hilo jina hasa tukiwa wawili tu.

"""Mama Amina alimweleza akimwambia kuwa"" Mpenzi naomba uwe unaniita Jina la Mama Amina tukiwa nyumbani na sio Mama,Ila tukiwa wawili niite jina la" Baby', Honey au Mpenzi" ila siyo *Mama* sawa Mpenzi,Lauson alikubali "sawa Honey wangu nikupendae",Mama Amina moyoni mwake alifurahi sanaa baada ya kuona Lauson amekubali ombi lake.

""""'"Waliendelea na safari yao ya kuelekea nyumbani ,iliwachukua takribani nusu saa kufika nyumbani,walipofika nyumbani walishangaa sana kumkuta Mzee James,akiwa hapo nyumbani mda kama huo kwani haikuwa kawaida yake kuwepo nyumbani mida ya saa kumi jioni, Lauson alimsalimia akisema" Baba Shikamoo" Mzee James " Aliitikia Marahaba mwanangu za huko mlikotoka na Mama yako" Lauson alimjibu akisema ni "nzuri tu"".

"""""'Mzee James aliendeea kumuuliza maswali Lauson huku wakiendelea kupiga stori za hapa na pale,walipokuwa wakiendelea kupiga stori mda huo Mama Amina alikuwa yupo chumbani kwake akiendelea kufanya usafi na kupangilia vitu vyake vizuri kwa ajiri ya kazi yake kwani siku hiyo ilikuwa Jumapili.

"""""Mzee James alimuuliza Lauson vipi Mama Yako umekutana nae wapi? Lauson alitabasamu kidogo na kusema," Mama amenipita njiani nikiwa nimetoka kumtembelea rafiki yangu ndipo nikawa nimekuja nae hadi hapa nyumbani,Lauson alimficha Mzee James kwani asingeweza kumwambia ukweli kuwa"alikuwa na Mama Amina Gesti".

'''"' Maisha yaliendelea kama kawaida na kwa upande wa Lauson katika wakati huo alikuwa amesha kuwa kijana Mkubwa sanaa, amabaye kwa mda huo angefaa kuoa kabisa na kuishi na familia yake tayari kutokana na mila na desturi za ki Afrika jinsi zilivyo kuwa kijana kama Lauson katika wakati huo ingetakiwa awe ameshaoa.

""""Lauson alikuwa na umri wa miaka 24 hakika alikuwa kijana mkubwa na kadri alivyo zidi kukua ndivyo alivyozidi kuwa handsome na mwili wake ndivyo ulizidi kukomaa na kujengeka vizuri ukizingatia na mwili aliokuwa nao waa Mazoezi,nyumbani hapo kwa Mzee James alianza kuwa kuwa tishio .

""""Lauson aliendela kugawa dozi kwa wote na mda huo alikuwa akiwabadilisha na kuwatomba kwa zamu mfano siko moja akimtomba Mama Amina siku nyingine inayofuata anamtomba Amina,alizidi kuwapa dozi kwa zamu, na katika kipindi hicho Martha mdogo wake na Amina alikuwa amebakiza wiki moja tu ili aweze kurudi chuoni kwani ndio alikuwa akiingia mwaka wa mwisho wa "tatu".

''''"""" Martha alikuwa na umri wa miaka 20 alikuwa mdada mzuri tu na Mrembo,pia kwa habari ya mzigo nyuma alikuwa na msambwanda ila ulikuwa wa kawaida tu,Martha katika mda wote waliokuwa wakiishi na Lauson hapo nyumbani alitokea kumkubali sana Lauson ila kwakuwa Martha alijua Dada yake Amina ana mahusiano ya kimapenzi na Lauson aliona aache kumgombanisha Dada yake na House Boy Lauson ingawa nayeye kuna mda alitamani *Dudu* la Lauson.

""'" katika hicho Lauson hakuwa na mpango wowote juu ya Martha na alimchukulia kama mdogo wake kwakuwa hata Martha alikuwa akimuheshimu sana Lauson kama Kaka yake wakutoka tumbo moja,Lauson alimuona Amina bado mdogo alijuwa endapo akimuomba mzigo asingeweza kumkatalia ila aliogopa kuwa endapo atamuhonjesha utamu kisha akanogewa alijuwa isingekuw siri tena hata Amina angejua.

"'""Siku moja Lauson Fabiano na Martha watu ndio watu pekee ambao walikuwa wamebaki nyumbani , kwakuwa Mama Amina na Amina walikuwa hawapo na ukizingatia ukweli wa Lauson kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Dada yake Martha alikuwa akiujua vizuri kabisa ,wote walishirikiana kufanya usafi wa hapo nyumbani.

  
""""'"Amina alikuwa ameshamweleza Martha ukweli kuwa yeye ana mahusiano ya Kimapenzi na Lauson na katika stori zao Amina hakukosa kumsifia Lauson kwani ,Lauson alikuwa na kila sifa za yeye kumpenda , Lauson alikuwa akimlizisha kwa kila kitu hususani kitandani Lauson alujuwa kumdatisha Amina na kumkuna vilivyo,Mahaba aliyoyapata Amina kutoka kwa Lauson yalimfanya amsahau na kumuacha Mpenzi wake waliyekuwa wakipendana sana tu.

"""" Siku hiyo ilikuwa ya ijumaa Martha siku hiyo alikuwa ameenda kumtembelea rafiki yake , Mama yake na Baba yake Martha wote walikuwa wameenda kazini, nyumbani hapo walibaki watu watatu tu Fabiano ambaye alikuwa ni mlinzi wa geti wa hapo nyumbani kwa Mzee James, mwingine alikuwa ni Martha na Lauson.

"""""Lauson alikuwa akiendelea kuzihudumia kuku kwa Kuzipa pumba na mabaki ya vyakula ,alipomaliza kuzihidumia kuku aliendele kuyasafisha mazingira ya hapo nyumbani kwa kupalilia gardens"bustani" na kupunguza maua katika bustani zilizokuwa nyumbani hapo.

''"" Lauson alipokuwa akiendelea kufanya kazi zake alishituka kusikia mkono laini ukimgusa begani, alipogeuka tu nyuma kumuangalia mtu aliyemgusa alikutana na sura ya Martha, sura ambayo katika mda ilikuwa imejawa na tabasamu ,na Martha kila siku alikuwa ni mtu ambaye alikuwa haiishiwi tabasamu katika uso wake, Martha alimkaribisha Lauson kwa kumpigia goti huku akimwambia"Karibu chai" Lauson aliitikia ingawa alionyesha kushangaa sana alisemaa a..sante Martha nakuja saivi".

 "''"' Moyoni mwa Lauson alianza kuhisi kitu cha tofauti juu ya Martha kwani toka Lauson aishi hapo nyumbani ilikuwa haijawahi kutokea Martha kumkaribisha kwa namna hiyo na ukizingatia Martha alikuwa kavaa kigauni tu ambacho alipopiga goti wakati akimkaribisha Lauson kilikuwa kimejichola vilivyo nyuma na kuonyesha mistari ya chupi iliyoonekana wakati Martha akitembea kurudi ndani,Martha alitangulia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kwake.

""""""Martha hakika siku hiyo alikuwa na jambo moyoni mwake ,alipofika chumbani kwake aliona abadilishe nguo, alivalia kanga moja tu na ndani yake akavaa chupi huku kwenye kifua chake akivalia kitopu chepesi kilichokuwa kimemshika vizuri na kikizichora vizuri chuchu zake jinsi zilivyokuwa zimevimba kama embe dodo lililo ivaa.

""""Martha katika siku hiyo alikuwa na mpango wake mwenyewe ndani ya moyo wake, na alijua endapo ataipoteza nafasi hiyo huenda isijirudie tena, Lauson alimaliza kazi zake na kuingia ndani ili kupata chai,alipofungua mlango wa sebuleni tu na kupeleka macho mezani alisita kidogo alibaki akiduwaa!! tu hakuamini alichokiona mbele yake.

"""""""" Unadhani ni kitu gani kitatokea.

Usikose sehemu 16 ndugu Msomaji ya simulizi na chombezo hii.

  ITAENDELEA.... 

Post a Comment

Previous Post Next Post