Kaka Utatua Sehemu Ya Tatu (03)

Mambo aliyokua anayafanya Kaka yalikua yanatisha, alikua anamlazimisha X wake kufanya mpenzi kintyuma na maumbile huku akirikodi, katika sehemu hizo alikua anaficha sura. Alikua anampiga sana huku akimtishia kuwa kama akikataa basi atavujisha picha zake nyingine ambazo alikua ashamrekodi huko nyuma. Dada wa watu aliishia kulia na kukubaliana na kila kitu alichokua anafantyiwa, kusema kweli ilikua inasikitisha, nilitamani kuacha kuangalia lakini yule Kaka alilazimishia, hakua na silaha yoyote lakini alionekana mkali sana na alionekana kuwa hana utani.

“Mlikua mnaona yote haya, mlikua mnaona anvyonyanyaswa, nataka muangalie kila kitu ili mjue kuwa ndugu yenu ni mtu wa namna gani?” Aliongea, mimi nilianza kulia, yalikua ni mateso makubwa kusema kweli ilikua ngumu kuvumilia.

“Huamini? Hata mimi si amini, mwanzo mke wangu hakunaimbia haya, alikua ananiambia kuwa anapigwa basi, hakuniambia kama kulikua na unyama kama huu. Lakini Kaka yenu asibyo na adabu kaaamua kumdhalilisha, sasa hivia memuua mke wangu, lakini hakumuu tu mke wangu, kamuua na mwanangu, kanichukulia familia yangu!”

Aliongea kwa uchungu sana, alitaja mara nyingi mke wake na familia yake.

“Sina sababu ya kuendelea kuishi na maumivu ya namna hii, najua tunakatazwa kulipa kisasi lakini kwakua Kaka yenu amechukua familia yangu na mimi nitachukua familia yake, anajiona kuwa ana akili sana, anajiona kuwa ana nguivu, ana kazi nzuri, mshaara mzuri lakini bnakuhakikishia kuwa mpaka namalizana na nyie atakua hana kitu, atakua chizi na hatafanya chochote!” Alikua anaongea sauti ya kawaida, alikua anaongea kama vile anatania lakini alikua anaamanisha, nilianza kuogopa kwani alionekana mtu aliyeumia sana, alionekana kama mtu ambaye amaketa tamaa ya maisha na kama unavyojua watu waliokata tamaa wnaakua wabaya sana.

Alihakikisha tunaangalia kila kitu, vitu vyote, vipigo, picha za uchi na bideoa mabzo zilikua zinamuonyesha maehemu akifanyiw avitendo vya ajabu na Kaka. Baada ya hapo aliichukua ile flash na kuobondaboda, aliiharibu na kuweka mabaki yaake mfukoni kisha akanyanyuka na kusema.

“Nimeshafunga ukurasa wa mke wangu sasa nataka kufungua ukuufrasa wangu. Namba yangu hii, Kaka yenu akitudi muambieni nakuja kuchukua kopi ya picha zote na video zote za mke wangu, aniandalie na muambieni ahakikisha ananipa kila kitu!”

Alituambia wakati anaondoka, kusema kweli nilitamani iwe hivyo lakini nilihofia, kwa ninavyomjua Kaka nilijua kuwa hawezi kumpa kitu chochote na tukimuambia atakasirika, anaweza hata kumuua huyo Kaka wa watu. Niliogopa, niliamua kuongea na kumuonay kuhusu Kaka.

“Kaka yangu si mtu wa hivyo, mimi naona uniache niongee naye taratibu ili azifute, nikimuambia ulikuja hapa atakasirika na anaweza kukufanyia kitu kibaya.” Nilimuambia kwa uoga, nilikua najisikia vibaya kwakua niliona wifi yangu akinyanyasika na sikusema chochote, sikuaka hali hiyo itokee kwa Kaka wa watu ambaye alikua anaonekana mstaarabu sana. Niliamua kumuambia ili yasije kumkuta, lakini yeye hakuonyesha kujali, aliniangalia kwa dharau na kisha akajibu huku akicheka.

“Kaka yenu ni Choko tu, hawezi kunifanya chochote, ukiona mwanaume anapiga mwanamke huyo ni Choko atasumbua wanawake tu ila wanaume hawezi kuwezana nao. Mpeni taarifa kuwa ninakuja kuchukau nvitu vya mke wangu na akikleta ujinga nitamvalisha Pampas!” Alituacha na kuondoka, wote tulibaki na butwaa, nilishangaa ni kwanini alikua anajiamini namna ile wakati alikua anamjua vizuri Kaka yangu.

Baada ya kuondoka mimi na mdogo wangu tulikaa na kuwaza tufanye nini, ilikua ni kama vita na sijui ni nani angeshinda, tuliwaza kumuambia Kaka lakini wote tulikua tunamuogopa, tulijua atapaniki na anaweza kumfantyia Kaka wa watu kitu kibaya. Tuliwaza sana na mwisho ntukaamua kumuambia Baba kwani yeye pekee ndiyo anawezana na Bbaa, tuliamua kumuambia kila kitu kuhusiana na hizo picha, mwanzo hakuonekana kushtuka.

“Achaneni na hayo mambo, huyo mtu kachanganyikiwa, anachotaka ni huruma tu, kama ana ushahidi kuwa mwanangu kahusika basi aende Polisi, mbona mambo ni marahisi, mchumba wake ameshakufa, kajiua mwenyewe hivyo asimhusishe mwanangu!” aliongea kwa hasira na kutushutumu sisi kana kwamba ndiyo tunamuendekeza, alitutukana na kutumbia hataki kusikia hayo mambo.

“Lakinia masema kuwa Kaka akija tumuambie, anatakaa kuja kuchukua picha na kila kitu!”

“Nimewaambia sitaki kusikia tena huo upumbavyu, huo ujinga wenu siutaki kabisa. Aje kufanya nini? Picha picha gani, nawaambia sitaki muwasiliane naye, namba zake futeni, sitaki ujinga kabisa, kwanini mnakua hamna akili, mtu kafiwa na mke wake mtarajiwa, mwanamke wake alikua Malaya, ana hasira kwanini asipaniki!”

Baba aliongea sana, alitukataza kumtafuta huyo Kaka na kuchukau simu zetu, akafuta namba za hiyo Kaka huku akituambia tusiliongele tena hilo swala, tusimuambie Kaka wala mtu mwingine yoyote tena. Hata Mama tusimuambie kwani tutampa presha bure. Mkweli tulinyamaza, hatukuliongelea tena hilo jambo, hata Kaka aliporudi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliongelea hicho kitu.

***

Mwezi mmoja ulikua umepita, yule Kaka hakutusumbua tena, lakini siku moja nikiwa mjini nilipigiwa simu na namba ngeni, nilipokea na alijitambulisha nikajua kuwa ni yule Kaka. Kusema kweli niliogopa kwani sikujua kama hata ana namba zangu.

“Namba zako nimepewa na Mama yako, nipo hapa nyumbani nasikia ujumbe wangu hukufikisha, hembu njoo mara moja kwani wewe peke yako ndiyo umekosekana.” Aliniambia kisha akakata simu, nilipaniki, nilikua kwenye gari nikashindwa kuendesha, nilikua naelekea kwa Kaka kuna mizigo alinituma kwaajili ya kuleta nyumbani wkani yeye alikua nyumbani. Nilimpigia kka ayangu ili kumuuliza yuko wapi lakini simu haikupokelewa, nikampigia Baba kumuuliza ila simu yake ilipokelewa na yule Kaka.

“Nimekuambia njoo nyumbani, kila mtu yuko hapa, hata Kaka yako yuko hapa, huna haja ya kuogopa njooo achana na hivyo vitu ulivyotumwa kwenda kuchukua utaenda nikiondoka!” Niliishiwa nguvu kabisa kwani kwa namna alivyokua anaongea ni mtu aliyekua akijiamini, nilishangaa ni namna gani anakuja nyumbani kwetu, Kaka yupo na jinsi ninavyomjua Kaka angekua ahsawaka mpaka basi, nilihofia kabisa kwamba inafikia hatua anapokea mapaka simu ya Baba.

Nilijitahidi na kuendesha gari mpaka nyumbani, nilifika na kuingia ndani, nilikuata wote wamekaa, nyumba ilikua kimya, Mama, mdogo wangunna Kaka walikaa kwenye kochi lililokua limeangaliana na yule Kaka ambaye alikaa peke yake, Baba naye alikaa kochi la peke yake, nilienda na kulaa alipokua kakaa Baba.

“Mnaniacha mgeni peke yangu, si vizuri….” Aliongea kama utani huku akicheka, lakini hakuna aliyecheka, wote walionekana kama vile wanamuogopa flani.

“Nisiwapotezee muda, kuna ujumbe nilikupa ili umpe Kaka yako, lakini naona kuwa hukumuambia ni kwa nini?” Aliuliza huku akisimama, alianza kutembeatembea akituangalia kama watoto wadogo. Nilimuangalia Baba lakini hakuonekana kama ana jibu, nikamuangalia Kaka alikua kimya sana, haikua kawaid ayake yaani kwa kumuangalia ni kama alikua anamuogopa, alikua kama anatetemeka falani, mpaka nilishangaa ni kwanamna gani Kaka siku ile alikua anaogopa.

“Huongeei kwanini hukumuambia Kaka ayako anikusanyie vitu vyote vya mke wangu na kwanini hukunipigia simu kuwa Kaka yako ameshakuja?” Aliuliza huku akinisogelea, niliwanagalia ndugu zangu lakini sikua na msaada wowote. Nilimuangalia Baba kisha nikasema.

“Mimi nilimuambia Baba lakini alisema tusumiambie Kaka na tuache kukusikiliza…” Niliongea kwa uoga, aligeuka na kumuangalia Baba kisha akamuambia.

“Kumbe wewe ndiyo unaharibu watoto, unajua kitu alichonifanyia mwanao?” Alimuuliza, Baba alinyamaza kimya, ujasiri wake wote ulimuishia, sijui yule Kaka alifanya nini wakati mimi sipo ila niliona kama vile wanamuogopa.

“Basi nitaanza na wewe, umeharibu familia yangu nitahakikisha na wewe huna familia. Wewe si ndiyo kila kitu, sasa muambie mwanao akaniletee ushahidi wote wa mke wangu, nataka kulinda familia yangu, sihitaji chochote kutoka kwenu lakini nahitaji kulinda familia yangu.”

Hapo aliongea kwa upole kidogo, Baba alimgeukia Kaka, alimuambia aende kuleta ushahidi, kaka alisema vitu haviko pale akamuambia aende kuvileta kwani yeye hana haraka. Yule Kaka aliniambia kuwa mimi niondoke nakuongozana na JKaka ili kuhakikisha kuwa anarudi na kuchukia kila kitu huku yeye akibaki pale. Kweli tuliondoka, mimi ndiyo nililazimika kuendesha gari kwani kaka alikua kama anatetemeka na sijui ni kwanini alikua vile.

Njiani tulikua kimya, mpaka tunafika Kaka hakuongea chochote, aliingia ndani na kuchukua flash, laptop yake na vitu vingine kisha akachukua Bastola yake.

“Kwanini uanchukua, unataka kwenda kufanya nini?” Nilimuuliza,a liniambia hakuna kitu anachukua kwaajili ya usalama.

“Kwani yule kaja na silaha, inamaana ndiyo kitu mlikua mnakiogopa, kawatishia.” Nilimuuliza maswali mfululizo.

“Hajaja na chochote ila sijui kwanini simuamini, nina wasiwasi ana silaha kwani anajiamini sana, nilitaka kummaliza ila nilikua sijajua kama ana silaha au la, anajiamini sana na sijui ni kwanini?”

Nilimsihi Kaka asichukue silaha lakini hakunisikiliza, alikua ahsaamua na kusema kuwa anachukua kwaajili ya tahadhari.

“Haya madude yake nataka nimpe, yaani hata mimi yananisumbua sana, unajua yanaweza kuvuja tena nikaambiwa ni mimi!” Aliongea huku tukiwa kwenye gari, ingawa alikua na silaha lakini alikua na wasiwasi kuliko kawaida. Nilimuuliza yule Kaka alikua kawafanyia nini lakini hakua na jibu.

“Aliingia tu na kusalimia,a kakaa chini na kutuita wote, mimi nilikua chumbani, nilipokuja nikakuyta kakaa, akanilazimisha kukaa chini, sijui nini kilitokea lakini sikua mbishi, nilijikuta nakaa chini na kumsikiliza kila alichokua anaongea. Sijui kama ana silaha lakini najaribu kumsoma ila siwezi, aani anajua mambo mengi sana kuhusu mimi, hata mambo ya ndani ya kazini kwangu anajua, mpaka naogopa, anaweza kuwa ana mtu ananifuatilia kazini ndiyo maanaa hata alijua kuwa leo nitakua nyumbani nashindwa hata chakufanya, nashindwa kumuelewa.

“Au na yeye ni Mwanajeshi, maana anajiamini?” Nilimuuliza Kaka wakati tunakaribia kuingia ndani.

“Hapana, namjua, nilikua namjua tangu zamani, anafanya tu Biashara zake, lakini sina uhakika, huyu si mwanajehi, sijui, labda usalama lakini hapana, ila anajuana na watu wengi kwani ananijua sana na hicho ndiyo kinaniogopesha.” Kaka alijibu, tulishuka na kuingia ndani, alikua amekaa anaongeaongea kama anatania anajichekesha mwenyewe. Baada ya sisi kuingia hakutaka kupoteza muda, alichukua vitu vyote pamoja na Laptop ya Kaka.

“Hiyo ina mambo yangu muhimu ya kazini, nimeileta ili uone nikifuta vitu!” Kaka alimuambia wakati anachukua, kwa hapo Kaka alipata ka ujasiri flani kwani ni kama alikua anamzuia asiichukue.

“Mambo gani ya kazini fala wewe, hivi unaniona mtoto, wewe huna cheo chochote ni mtu wa kutumwa, unaandika nini cha maana amabcho siruhusiwi kukiona, hembua chia huko.” Aliongea hukua kimsukuma Kaka aliiachia na kwenda kukaa.

“Unakumbuka siku ile nilikuambia kuwa Kaka yako ni Choko tu ataishia kupiga wanawake, sasa unaona, ameenda huko kachukua na Bastola eti kaja nayo, jamani mimi sina silaha yoyote, sihitaji silaha kwani sikuja kwa shari kabisa!” Sijui aliionaje kwani kwa sehemua aliyokua ameificha Kaka ilikua ni ngumu kuiona, alimuamrisha kaka kuitoa ile Bastola, kama zuzu Kaka aliitoa na kumkabidhi, aliiangalia na kuifungua kuona kama ina risadi, kweli ilikua nazo.

Aliifunga na kumkabidhi Baba.

“Kaa nayo, usimuache mwanao akakaa nayo kwani ipo siku unaweza kuja kusikia kajitundika risasi kichwani.”

Baba aliipokea huku akitetemeka, Kaka alikua kimya hakufanya chochote.

“Unajua kuitumia?” Alimuuliza Baba, Baba alitingisha kichwa kuonyesha kuwa hajui. Aliichukua tena ile Bastola akaanza kumuelekeza Baba.

“Ukitaka kuitumia kwanza sunafanya hivi…” alimuelekeza kisha akamalizia.

“Hata kama maisha yamekushinda na unataka kujiua, usinwye sumu kama mke wangu, inaumiza sana, mke wangu aliteseka sana, unaichukua unaweka mdomoni, unaingiza kabisa kiosha unavuta hapa, au unaweka chini ya kidevu ukipiga tu unakua umevuruga ubongo wote unakufa hapohapo hakuna maumivu tena.”

Aliongea, Baba alikua anatetemeka, alikua anakubaliana naye kila alipokua akiulizwa kama ameelewa au la?

“Ngoja tuangalie kama inafanya kazi…” Aliongea huku akiishika, aligeuzia Baba kisha akaacha na kumgeuzia Kaka. Mama kuona vile aliaqnza kupaniki, akaanza kupiga kelele kuomba smamaha, alianza kulia, Kaka mwenyewe alianza kumsihi kwua asifanye hasira, alikua anatetemeka mpaka akajikojolea, yule Kaka Alianza kucheka, yaani alikua anacheka kicheko cha mtu kama chizi flani, kama unaangalia movie za mazombi kuna wale ambao wanakua kama wajinga flani wanacheka kisha wanaua ndivyo alikua hivi yule Kaka.

“Inaumaeee! Mtoto anaume, hembu vuta picha mtu kakuuliza mke wako na watoto? Hivi mnavyolia hivi mnajua kitu ambcho mtoto wenu amenifanyia, mmenoan picha za mke wangu mwkeli, mnadhani alipenda kufa! Natamani niwaonyeshe ila ni kuendelea kumdhalilisha lakini huyu mtoto wenu hatakiwi kuendelea kuishi.” Aliendelea kuongea, kila alivyokua akizidi kuongea basi ndiyo ahasira zilikua zinampanda, alikua anazidi kumsogezea Kaka Bastola kichwani na mara tukasikia “Paaaaa!” mlio wa risasi!

Unataka kujua kuwa huyu mtu ni nani? Je amemuua Jamaa na ni nini kitafuata? Basi usikose kufuatilia.

BONYEZA HAPA KUPATA SMS NZURI ZA mAPENZI

INAENDELEA..




Post a Comment

Previous Post Next Post