Wakubwa tuu wataelewa!!! MAMBO YA NDOA HAYA

 Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe 

TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo.
WANAUME tunzeni FRASH DISK zenu kuna laptop kwa nje zinaonekana ni NZURI kweli na zinavutia lakini hazijafanyiwa window updates kwa muda mrefu na hazina 

ANTVIRUS sio kila laptop unachomeka tu utajikuta umepoteza mafaili yako yathamani yatakapo liwa na VIRUS
NAJUA flash zinapenda sana kuingia kwenye kila laptop lakini ni vema mkazicontrol mpaka pale mtakapomiliki laptop zenu binafsi na kama ushamiliki yako basi hakikisha unailinda sana.
Ni kweli zimetengenezwa kutumika na flash inaenea kila port lakini pia laptop inafit kila flash….je, unauhakika ziko salama!!
subiri umiliki yako na kabla hujaitumia kaiscan kuthibitisha usalama wa laptop au flash yako. tanx…… 

Post a Comment

Previous Post Next Post