CHOMBEZO: MSIBANI TANGA 01

june 2021

Nilisikitishwa sana na kifo cha rafiki yangu Khalid kilichotokea mwaka mmoja uliopita, kilikuwa kifo kibaya kwani Khalid akiwa anatokea Mkoani Dar es Salaam kuelekea Kibaha mkoani Pwani na pikipiki waliweza kukutana uso kwa uso na Scannia lakini kwa kujiokoa aliikwepa akakata kushoto kutafuta usawa wake, hata hivyo akiwa kushoto humo humo alikutana na na Tractor ambayo ilikuwa imetoka kulima shambani basi aliivaa kwenye majembe na alikuwa nyang'anyang'a

R.I.P mwanangu Khalid



Simulizi ya kweli:

Naitwa Jawabu Kassim ni mzawa wa Lindi huko Kilwa , nilikuwa nasikiaga tu kwamba Tanga kuna mafundi lakini kiukweli nilikuwa sijawahi kukutana nao hadi siku nilipotoka jijini dar kwenda Tanga, Maramba katika mtaa mmoja uitwao Kigongoi ambapo tulifika muda wa saa tisa jioni tukiwa na maiti baada ya kuitoa hospitalini huko Kibaha.



Tukifika hivi tukakuta watu wengi wamekusanyika katika familia yake Khalid, haraka haraka mazishi yalifanyika na watu walitawanyika



Nilikuwa na mshikaji wangu mmoja aitwaye Aziz

"Oi Aziz tunarudi Dar leo au?" Nilimuuliza



"Aah wapi" Alinijibu



"Sasa tutalala wapi kaka? Au kwenu ni karibu na hapa?" Nilimpachika swali



"Kaka kwetu ni mbali kidogo na hapa, ni sehemu moja iitwayo Bwiti, tutambea sana" aliniambia "Unasikia, itabidi tulale hapa hapa msibani halafu kesho tutaondoka asubuhi na mapema"



"Mwake mzee" nilisema



*

BAADAYE JIONI

Nilikuwa nimejumuika na watu mbali mbali kwenye mkeka, kwa kifupi kulikuwa na joto sana siku ile maana ilikuwa ni kipindi cha joto kali



Tukiwa kwenye mkeka ghafla alikuja binti mmoja na kusimama katikati ya watu tuliokuwa tumeketi



"Za saa hizi wapendwa" Alisema binti huyu 



"Salama" Wanaume wote tuliitikia



"Naomba kuchukua idadi yenu ili nilete vikombe maana kuna chai inaandaliwa"



"Hapo sawa,......hapo okay...chukua idadi tu dada wala usiogope" wanaume walichangamkia fursa ndipo binti akaanza kuhesabu watu ili apate idadi yao.



Baada ya kuhesabu aliondoka zake huku akiwa amefunga khanga kibwebwe.



Alituacha sisi tukiendelea na Hadithi mbili tatu lakini baada ya dakika zisizozidi kumi alirudi na birika huku akifuatana na mwenzake akiwa ameshikilia chupa mbili za chai



Alianza kumimina katika mikeka yote na viti, ndipo baada akaja kumalizia kwemye mkeka niliokuwa nimekalia mimi, Aziz na vijana wengine.



"Vipi Jawabu unakunywa chai?" Aziz aliniuliza



Sasa mimi kwa haraka haraka nilipotafakari niliona haina haja maana kulikuwa na joto sana siku ile



"Hapana, siwezi kunywa kwa hili joto" aliniambia



"Nzuri mwanangu" alizidi kunishawishi



"Achana nayo"



Binti aliendelea kuwamiminia watu ndipo upepo ulipofanikiwa kuchukua mvuke ba kuniletea puani hatimaye nikasikia harufu ya ile chai.



Ilibidi niinuke maana nililala chali mkekani nikihangaika na simu yangu



"Wewe, subiri kwanza, kwani kinachonukia hivi ni nini?" niliuliza baada ya kugundua ile chai imeundwa vizuri sana



"Mh si chai jamani" Alisema binti yule



"Aaah, basi nimiminie aisee haiwezi nipita hii" Nilisema kwa hisia na furaha wanaume wote wakanicheka.



Yule binti alichukua kikombe na chupa ya chai halafu akanisogelea na kunikabidhi kikombe ili animiminiepo chai.



Nilikitega vizuri akaanza kumimina, ila kabla hajaweka hata nusu kikombe akanipachika swali

"Kwani wewe hujawahi kunywa chai ya Tanga?" aliniuliza sasa tukajisahau na kutazamana usoni 



"Sijawahi, inaonekana tamu kuliko zote za dunia nzima"



"Hahaha, kila kitu cha Tanga ni kitamu kuliko sehemu nyingine" alisema huku anitazama na kujichekesha nikawa nimeona cheko fulani hivi kama hataki shetani naye akapiga hodi katika moyo wangu na kunitia tamaa ya kumuongelesha kimahaba.



Ile tunaangalia hivi si chai ikajaa na kunimwagikia 

"Mamaaaa" Nilisema na kutoa kikombe haraka akashutuka ila tayari ashichoma mkononi na chai nyingine ikawa imemwagikia katika suruali yangu kwenye usawa wa mjomba wangu kabisa



"Ooh jamani samahani" Alisema huku akiinama na kuniangalia mkononi "Nimekuchoma sana?" aliniuliza



"sana, et daah" Nilisema kwa hasara chai ilinichona hadi naniliu yangu eti halafu yeye akajua ni mkono tu



"Twende jamani nikakukande na maji ya baridi kama umeungua sana" alisema nikashtuka na kumgeukia Aziz, ile nimemcheki Aziz hivi akanikonyeza kumaanisha niende naye naweza pata mambo mengine mazuri huko.



Niliinuka huku nikijifanya nagumia maumivu kumbe hata sio kiviiile.



"Twende hivi uani jamani" Aliniambia kiukarimu na kumuangalia mwenzake "Urudi na hizo chupa please" alisema sisi tukaudhuria uani nikakandwe kwa maji ya baridi



Nilipofika aliniingiza bafuni na kuniacha, "Nisubiri" aliniambia na kuondoka sasa mi akaniacha na mawazo kwamba mkono tu unakandiwa bafuni kweli? Nilitabasamu baada ya kupata wazo la kishetani



Baada ya dakika tatu alikuja na chombo chenye maji na kuyaweka chini halafu akaweka kitambaa laini na kukilowanisha kisha akaanza kunikanda nacho mkononi huku akiniambia maneno matam



"jamani pole dear" aliniambia kwa sauti laini na legevu



"Asante sana" Nilijibu



"Usiwe umeumia sana mpendwa jamani" aliniambia



"Ndio nimeumia halafu unajua ile chai ilinimwagikia hadi kwenye suruali" nilimuambia



"Niliona, ndo maana nimekuleta huku bafuni"



"Mmmh! Niliguna, ghafla akashika suruali yangu na kuishusha kwa nguvu ikashuka maana sikukaza sana si unajua mlegezo kidogo



"mbona unaguna, au hutaki nikukande huku inawezeoana huku umeungua zaidi halafu unajua bila hii huwezi pata raha ile kubwa ee, halafu pia hauwezi kupata watoto" alisema na kushusha boxer yangu akautazama mtarimbo nikaona ameshtuka na kuachama mdomo huku akiukodolea macho halafu akapeleka mkono taratibu akaanza kupapapasa, 



Baada ya hapo akichukua kitambaa mwanana cha maji na kuanza kupakanda, si isivyokuwa na nidhamu ikasimama jamani naye kachuchumaa, alipoona imesimama akahema kwa nguvu halafu akasema 'Woow' kwa hisia na kuzidi kuipapasa kwa mkono mmoja



"Viii...pi" Nilisema huku nikianza kupata hisia kali, nikasikia joto kali na kutazama, ile namwangalia hivi ashaizamisha mdomoni anainyonya kiufundi sana.....LA 


ITAENDELEA......#danny

Post a Comment

Previous Post Next Post