NCHI YA DHAMBI (1 ~~ 05)



 *Ni Season' kali ya Mahaba ya kifalme iliyojaa visa na mikasa ndani yake...

     ××××××××××××
Ndani ya nchi kubwa ya Toro,


Usiku alikuwa umeingia.....

"Heshima kwa mtukufu mfalme!" Kamanda wa jeshi alipiga makelele na askari wakanyoosha silaha zao juu (mapanga na mikuki) na kuzishusha chini kisha wakainamisha vichwa vyao chini (kama salamu ya heshima) kwa mfalme Longe ambae alikuwa juu ya farasi akitokea nchi jirani ya Kaskazini

  Mfalme Longe alifika mpaka kwenye lango (geti) kuu la kasri lake na lililofunguliwa taratibu akaingia akiwa na msafara mdogo wa waziri wake wa masuala ya nje na wasaidizi wake wengine muhimu pamoja na kikosi cha askari (makamanda) wapatao thelathini na wawili (32)

  Hatimae alishuka juu ya farasi akiwa amevaa joho lake la kifalme akaingia taratibu mpaka ndani ya sebule yake ya kifalme nyuma akilindwa na walinzi wake wakuu wawili, njiani akakutana na mtumishi mkuu wa mkewe malkia Suze, aitwae bi. Redo

"Mtukufu mfalme uishi milele!" Bi. Redo aliinamisha kichwa
"Malkia yupo wapi?" Mfalme alimwuliza
"Ametoka asubuhi mtukufu mfalme!"
"Amekwenda wapi?"
"Hajasema amekwenda wapi mtukufu mfalme!"

"Kwahiyo nikiondoka ndani ya kasri nae huku nyuma anaondoka siyo?"

"Hapana mtukufu mfalme!" Bi. Redo alijibu akishikwa na kigugumizi

"Kaendelee na majukumu yako!" Mfalme Longe alimwambia mtumishi huyo

"Asante mtukufu mfalme!" Bi. Redo alirudi kinyume nyume akiwa ameinama na kuondoka mbele ya mfalme Longe

 Mfalme alitembea akipanda ngazi za kuelekea chumbani kwake ghorofani huku akiwaruhusu walinzi wake wakarudi kwenye nafasi zao,

 Mfalme Longe alipofika kwenye mlango wa chumba chake alishika kitasa na kuufungua lakini akagundua haujafungwa ila umerudishwa tu, na alipousukuma na kuingia akakutana na mwanadada Susi shemeji yake (mdogo wa malkia Suze) akiwa amekaa kitandani huku amevaa gauni lililoacha matiti yake kifuani wazi

"Karibu mtukufu mfalme!" Mwanadada Susi alimwambia mfalme Longe

"Waaoh unavutia sana!" Mfalme alimjibu akiufunga mlango taratibu

"Kwa ajili yako tu mtukufu mfalme!" Susi aliinuka na kumsogelea mfalme Lengo (shemejiye) wakakumbatiana na kuanza kupeana mate (denda) taratibu

"Dada yako ameenda wapi?" Mfalme Lengo alimwuliza 
"Hatorudi upesi!" Susi alijibu akiinua mguu mmoja huku paja lake likiwa wazi mfalme Lengo akaukamata na kuanza kumpapasa pajani taratibu huku wakiendelea kupeana mate (denda) wakisogea taratibu na kuangukia kwenye kitanda cha mfalme ambae alipagawa na kuvua koti (joho) lake la kifalme akabaki na kanzu tu ambayo nayo aliivua mpaka nguo ya ndani akabaki mtupu kama alivyozaliwa, shemejiye Susi nae alivua gauni lake na kubaki mtupu, mfalme akapita kati kati ya mapaja yake na kumwingiza Jogoo' wake

"Aaaaassshhhh!" Mwanadada Susi aliguna kwa sauti kali huku akikikamata kichwa cha mfalme na kuutoa ulimi wake mfalme akaumeza na kuendelea kuunyonya taratibu

"Wewe ndiye unajua ninachokitaka!" Mfalme Longe (47) alimnong'oneza kwa sauti yake nzito shemejie Susi (28) huku akijisukuma kiuno akimshindilia mwanadada huyo Jogoo wake

"Kula tu nitakupa chochote unachokitaka na wakati wowote, kile unakachokikosa kwa dada yangu mimi ninacho aaaassss!" Susi alimjibu mfalme Longe huku akimpapasa papasa mwanaume huyo mgongoni na kuongeza miguno ya kimahaba, dakika zikizidi kusoge huku akiguna guna kimahaba

 Mwanadada Susi alijua mbinu za kumchanganya shemejie yaani mfalme Longe, akasimama na kushika nguzo ya kitanda (cha chuma) na kubinua kiuno chake, makalio yake akiyatanua kumtegeshea mwanaume huyo ambae alisimama kwa nyuma na kuingiza Jogoo' wake na kumkumbatia kwa nyuma mithili ya beberu ampandavyo mbuzi (jike) au Jogoo ampandavyo tembe (kuku jike) akiendelea kumwingiza na kutoa huku akihema hema kwa nguvu mithili ya mwanariadha anayemaliza mbio ndefu....

  Upande wa pili malkia Suze alikuwa kwenye gari lake (la farasi) akiingia geti kuu la jumba la kifalme (kasri) akiwa na walinzi wawili tu na msaidizi wake mmoja jambo ambalo siyo la kawaida, kutembea na ulinzi mdogo kiasi hicho kama malkia, akamwona farasi wa mumewe mfalme Longe nje ametandikwa vizuri kwenye bustani, mtumishi wake b. Redo alipomwona alimfuata

"Pole kwa safari mtukufu malkia!" Alimwinamia
"Mfalme amekuja muda gani?"
"Hata lisaa halijapita tangu alipoingia!"
"Sawa na mdogo wangu Susi yupo wapi mbona simwoni?" Malkia Suze aliuliza wakati huo wakitembea sebuleni na mtumishi wake mkuu

"Sijamwona muda mrefu mtukufu mfalme!" Bi. Redo alijibu

"Sawa endelea na majukumu yako!" Malkia Suze (35) alimwambia bi. Redo huku taratibu akipanda ngazi za kuelekea juu ghorofani kwenye chumba chake na mumewe mfalme

"Mtukufu malkia!" Bi. Redo alimwita malkia Suze ambae alikuwa juu akamtazama chini

"Sema??!!" Malkia alimwuliza bi. Redo ambae alionekana kama anataka kumwambia jambo muhimu lakini roho yake inasita, mtumishi huyo akabaki akiangalia chini akitafakari aanzie wapi.....


Dondosha Comment
Dondosha Like Twende sawa...

NCHI YA DHAMBI
SEHEMU YA ~ 02


   ×××××××××××××

"Unasemaje Redo?" Malkia Suze alimwuliza mtumishi wake kwa mara nyingine tena yeye akiwa juu ya ngazi ya kuelekea chumbani kwake na mumewe mfalme, Longe

"Hapana mtukufu malkia sina jambo la kusema!" Bi. Redo alijibu akionekana mwenye wasiwasi mwingi kana kwamba malkia Suze (35) anakaribia kwenye jambo la hatari, malkia huyo akatikisa kichwa tu kumshangaa mtumishi wake kisha akaendelea kupanda ngazi za kuelekea chumbani kwake na mfalme Longe

  Wakati alipozimaliza ngazi tu alikutana na mdogo wake Susi (28) akishuka yeye akiwa anataka kuelekea chini

"Dada!" Susi alimkumbatia dada yake
"Mdogo wangu!" Malkia Suze alimwitikia
"Umerudi?"
"Ndiyo dada!"
"Huku umetokea wapi tena?" Malkia Suze alimwuliza nduguye maana chumba chake cha kulala kipo ghorofa ya chini

"Nimemsindikiza shemeji mfalme nilimpokea mpaka mlangoni hapo yeye ameingia chumbani kwenu nami ndo nimegeuza" Susi alimwambia dada yake

"Ooh lakini haukuwa na haja watumishi wapo!"
"Nimeamua tu dada siyo kwamba sikuona watumishi!"
"Sawa ngoja mimi nikamwone mume wangu mfalme huko chumbani!"

"Haya dada usisahau kumwonyesha mahaba!" Susi alimnong'oneza dada yake sikioni kiutani kisha akaendelea na safari yake akishuka taratibu kwenye ngazi kuelekea chini

"Mh??!!" Malkia Suze akaguna tu na kisha kuelekea chumbani akaufungua mlango na kuingia akimkuta mumewe mfalme Longe akiwa amejilaza kitandani

"Karibu!" Mfalme Longe alimwambia
"Umerudi muda mrefu!"
"Ndiyo!"
"Ohoo za safari?"
"Njema na habari ya huko utokako?"
"Njema mtukufu mfalme!"
"Ni mtukufu mfalme na siyo mumeo siyo?" Mfalme alimwuliza mkewe Suze
"Nadhani unajua tunavyoishi hivi sasa sipendi uniulize maswali yale yale kila mara, nahitaji kupumzika!" Malkia Suze alimjibu mumewe akivua joho, taji na gauni lake zuri vya kimalkia, kisha akaenda zake bafuni kuoga, mfalme Longe akavuta shuka lake na kulala taratibu


  Malkia Suze alipotoka bafuni moja kwa moja alipanda kitandani alipolala mumewe mfalme Longe na kulala pembeni katikati wakiacha nafasi kubwa kutokana na kutoelewana kati yao.

  Lilipopita lisaa lizima mfalme Longe akiwa amepitiwa na usingizi fofofo malkia Suze aliinuka taratibu kitandani bila kumgusa mumewe, akatembea kwa mwendo wa kunyata na kuufungua mlango akatoka chumbani na kukutana na mlinzi wake mkuu akiwa chini kwenye ngazi amesimama, aitwae kamanda Lari ambae leo ilikuwa zamu yake kulinda chumba cha mfalme na malkia

"Unaenda wapi mtukufu malkia?" Askari mlinzi Lari alishangaa kumuona malkia Suze akitoka usiku sana chumbani

"Shiiiiiiii njoo huku kuna kitu nataka nikuonyeshe!" Malkia Suze alimwita mlinzi huyo akimtaka azungumze taratibu, 

  Lari (26) aliitika wito wa malkia na kumfuata, malkia akakunja kona kwenye uchochoro mmoja kati ya chumba chake na cha mama mkwe wake (mama wa mumewe mfalme Longe)

"Kulikoni mtukufu malkia?" Lari aliuliza, malkia hakumjibu akamvuta kijana huyo na kuanza kumpa mate (denda) kwa sekunde kadhaa

"Nakuhitaji Lari!" Malkia alimwambia wakinong'ona chinichini
"Nakuhitaji pia lakini huoni kama ni hatari sana hapa na siyo salama?"
"Haijalishi!" Malkia alimjibu Lari, akalishusha gauni lake jepesi la kulalia mabegani matiti yakabaki wazi, akamshika kichwa kijana huyo na kukisogeza kifuani mwake, Lari taratibu akaanza kunyonya matiti ya malkia Suze wakiwa wamejibanza kwenye kona huku mlinzi mmoja akikatiza bila kuwaona

  Askari Lari alinyonya matiti ya malkia Suze kwa zamu huku akimpapasa papasa mwanamke huyo ambae baada ya dakika kama tano za kunyonywa matiti na kushikwa shikwa aligeuka na kushikilia ukuta akiinama kidogo na kubinua kiuno chake, kijana askari Lari akiwa kwa nyuma akalipandisha gauni la malkia Suze kwa juu ambae ndani hakuvaa kitu kisha akamwingiza Jogoo wake taratibu kwenye uchi wa malkia huyo aliyezama wote

"Aaaaaasss!" Malkia aliguna huku akijiziba mdomo, askari mlinzi wake mmojawapo, Lari akamshikilia kiuno na kuanza kumsugua taratibu

  Kijana Lari alizidi kumpa utamu' malkia Suze ambae nae alijibinua zaidi kumpa nafasi Jogoo' wa askari wake huyo azame zaidi kwenye uchi wake, huku askari yule yule aliyepita mwanzoni akikatiza tena lakini hakuwaona kwa sababu hakugeuza shingo yake kwenye kona (uchochoro) waliokuwepo malkia Suze na askari mlinzi wake, Lari

  Malkia Suze alitaka kuvua gauni lote maana aliona linamsumbua lakini Lari akamzuia, akamgeuza malkia huyo sasa wakitazamana uso kwa uso akatanua, Lari akakaa chini akiegemea ukuta na malkia Suze akachuchumaa na kumkalia taratibu Jogoo wa kijana huyo akazama tena kwenye uchi wa malkia, kazi ya kupeana raha ikaendelea kama kawaida, dakika zaidi ya ishirini zikikatika, Lari akitamani kumaliza mchezo kwa ajili ya wasiwasi lakini malkia alimng'ang'ania mithili ya mdudu kupe ang'ang'aniavyo ngozi ya mnyama.....


  Chumbani alipobaki mfalme Longe, alianza kuweweseka kitandani akihangaika hangaika mwenyewe na kurusha rusha mikono na miguu, akiota ndoto mbaya na mwishowe akakurupuka kutoka usingizini akiwa ametoa macho na kuhema kama aliyekuwa amekimbizwa na mbwa kichaa, 

 Mfalme Longe alishikwa na woga, akageuka kumtazama mkewe pembeni yake lakini hakumwona, 

"Suze mke wangu!" Aliita mara kadhaa akihisi atakuwa bafuni (bafu lipo chumbani humohumo) lakini kukawa kimya, mfalme Longe akashikwa na wasiwasi, ukichanganya ndoto mbaya aliyoota na kutomuona mkewe chumbani alihisi kuchanganyikiwa, akashuka kitandani akijifunga taulo na kwenda mpaka kwenye mlango wa bafu na choo, lakini kote hakumuona mkewe

"Atakuwa ameenda wapi usiku wote huu?" Mfalme Longe alijiongelesha mwenyewe na taratibu akaufuata mlango wa chumba na kuufungua atoke kujaribu kumtafuta nje ya chumba

 Akatembea taratibu na kukaribia kwenye kona (uchochoro) ile aliyokuwa mkewe malkia Suze akingonoka na mlinzi wake, askari Lari, wawili hao wakiwa wanaendelea kufanya yao, hawana habari kabisa....

NCHI YA DHAMBI
SEHEMU YA ~ 03


********

  Mfalme Longe (47) alitembea taratibu akiikaribia kona ile ile waliyokuwa mkewe, malkia Suze (35) na kijana Lari (26) wakingonoka, akataka kukunja kona 

"Mwanangu!" Alisikia sauti ya mama yake nyuma ikimuita, bi. Tusa malkia wa zamani wa nchi hiyo ya Toro

*****"*
👉OFA KABAMBE

👉KAMA UNA TSH 1,000 tuKWENYE SIMU YAKO

👉NJOO WHATSAPP 0768315707 UJISOMEE STORY HII YOTE

👉KAMA HUNA WHATSAPP NITUMIE UJUMBE HUKUHUKU FACEBOOK*

******

"Mama??!!!" Mfalme Longe aligeuka kabla hajashuhudia kilichokuwa kikiendelea kwenye kona (korido) baina ya mkewe malkia Suze na askari Lari


 Malkia Suze na askari Lari ambae ni mmojawapo wa vijana walinzi wake, wote wawili walishtuka walipomwona mfalme kasimama pembeni yao mita chache, lakini kwa bahati hakuwaona baada ya kuitwa na mama yake mzazi, angegeuza tu shingo yake basi huenda ingekula kwao, na askari Lari, kijana mdogo huenda shingo yake ingetengenishwa na kiwili wili chake

  Waliondoka taratibu kwa kupitia nyuma kabla mfalme Longe hajawaona

"Mbona hujalala mpaka saa hizi mama una tatizo?" Mfalme Longe alimsogelea mama yake bi Tusa (68)

"Hapana najisikia vibaya tu mwanangu!" Aliongea mwanamke huyo ambae pamoja na umri wake kusogea bado alionekana mrembo tena akijipodoa na kuvaa kila aina ya urembo mwilini

"Tatizo nini mama?"
"Upweke tu wala hakuna tatizo kubwa!" Bi Tusa alimjibu mtoto wake, mfalme Longe (47)

"Sawa mama, nenda kapumzike!"
"Hapana nitakwenda bustanini tu!"
"Usiku wote huu mama?"
"Usijali, wewe je kulikoni saa hizi?"
"Nimekosa usingizi tu na sijamwona mke wangu kitandani, umemwona popote?"
"Hapana sijamwona!"
"Sawa ngoja nikalale ila hakikisha nawe umeenda kulala?"

"Usijali mwanangu!" Bi. Tusa alimjibu mtoto wake, mfalme Longe akambusu mama yake huyo kwenye paji la uso kisha akageuza kurudi chumbani, bi. Tusa akaendelea na safari yake akidai anakwenda bustanini

  Mfalme Longe aliusogelea mlango wa chumba chake akakishika kitasa cha dhahabu na kutaka kukifungua lakini akasita kwanza

"Atakuwa amekwenda wapi saa hizi?" Alijiuliza maswali yaliyokosa majibu akatikisa kichwa na kuufungua mlango taratibu lakini alishangazwa alipomkuta mkewe, malkia Suze akiwa ndani chumbani amejilaza kitandani, mfalme akabaki amejishika kiuno

"Vipi karibu ulale!" Malkia Suze alimuita
"Ulienda wapi usiku wote huu naomba majibu!?" Mfalme alimwuliza mkewe huyo kwa hasira akiwa amemkazia macho......

....

 Upande wa pili bi. Tusa mama wa mfalme Longe alikuwa akiangaza angaza macho huku na kule, wala hakuwa na nia ya kwenda bustanini kama alivyomdanganya mtoto wake, alikuwa na lengo lake jingine

"Atakuwa wapi huyu kijana?" Alijiuliza akigeuza geuza shingo huku na kule

"Mtukufu mama mfalme una tatizo lolote?" Mtumishi bi. Redo aliyekuwa akipita alimwuliza alipomwona mwanamke huyo kana kwamba anatafuta kitu

"Umemwona wapi askari mlinzi kijana mdogo yule anayemlinda malkia Suze anayekaa hapa mara nyingi?" Bi. Tusa aliuliza

"Yule anayeitwa Lari?"
"Ndiyo Lari!"
"Unamuhitaji sasa hivi?"
"Ndiyo!"
"Nimemwona kwenye lango kuu bustanini!"
"Kaniitie!"
"Sawa mtukufu mama mfalme!"
"Harakisha!" Bi Tusa alimwamuru mtumishi huyo mkuu wa malkia Suze, ambae aligeuka haraka haraka akiwa ameinamisha kichwa chake na kwenda kumuita kijana Lari

 Askari kijana, Lari (26) kijana shupavu na mzuri wa sura, alikuwa amesimama kwenye lango kuu la bustanini akiwa ametulia tuli baada ya kunusurika kufumaniwa na mfalme Longe, wakati akifanya mapenzi na malkia Suze

"Lari!" Bi Redo alimuita alipomwona
"Naam!" Lari aligeuka
"Mama wa mfalme anakuita!"
"Mama wa mfalme, kuna nini?"
"Sijajua, kamsikilize tu!" 

 Lari alijikuna kichwa akatembea kiaskari kwenda kuitikia wito akamkuta mama wa mfalme Longe amesimama kwenye mlango wa chumba chake akimuita kwa mkono, kisha akaingia chumbani kwake taratibu, Lari akafuata nyuma na kuingia chumbani mwa mwanamama huyo

"Funga mlango!" Mamamfalme mfalme alimwambia, Lari akaufunga kwa ndani

"Naam mtukufu mama mfalme!" Askari huyo akainamisha kichwa chake

"Njoo hapa kitandani!"
"Mtukufu mama mfalme?" Lari alishangaa,

 Mwanamama huyo (68) akainuka kitandani na kumfuata kijana huyo akamshika begani

"Kipi kigumu Lari mwanangu eeh kuja kulala namimi tu usiku huu?" Alimnong'oneza sikioni

"Lakini ni.....!!"
"Ni nini tena Lari, au nimezeeka sana, sipendezi kwani kuwa nawewe kimapenzi, hatuendani?" Bi. Tusa alimwuliza kijana Lari huku akiupeleka mkono mpaka mbele kwenye zipu ya suruali ya kijana huyo

"Lakini nina majukumu..."
"Achana nayo, nipe kidogo tu!" Mwanamama huyo (68) alimwambia kijana huyo akimvuta mkono taratibu mpaka kitandani wakakaa kitako wakitazamana

"Dakika chache tu!" Lari alimwambia mama huyo
"Haina shida!" Mama wa mfalme Longe alimjibu taratibu wakasogeleana nyuso zao na kuanza kupeana mate (denda) huku mwanamama huyo mtu mzima na mjane akivua gauni lake maalumu la kulalia taratibu, 

Lari (26) aligeuzwa akalala chali akatolewa nguo zake, mwanamamama huyo taratibu akaanza kumnyonya Jogoo wa kijana huyo bila aibu akimlamba lamba kwa ulimi wake.....


  Upande mwingine chumbani kwa mfalme Longe na mkewe malkia Suze walibaki wakitazamana tu

"Nimekuuliza ulienda wapi?"
"Nilienda bustanini kupunga upepo" malkia Suze alijibu
"Bustanini usiku wote huu tangia lini umeanza kwenda bustanini usiku?"

"Siku hazifanani!" Malkia Suze alijibu kwa dharau akilivuta blanketi lake la kulalia taratibu na kujifunika

"Ohoo kumbe ndo tunavyoishi sasa siyo, sawa haina tatizo!" Mfalme Longe alitikisa kichwa kwa hasira akapanda taratibu kitandani lakini kwa bahati mbaya akakanyaga kitu kilichomuumiza kwenye zuria akapiga kelele za maumivu

"Kulikoni?" Malkia Suze alijifunua shuka na kumwuliza
"Nimeumia!" Mfalme alijibu akijitazama unyayoni damu zikimtoka kidogo maana alichokikanyaga kilimtoboa

"Hii si hereni?" Malkia Suze alikiokota kitu hicho kilichokuwa chini karibu na kitanda

"Ndiyo kumbe ni hereni?" Mfalme nae alikikodolea macho kitu hicho kilichomuumiza kwenye unyayo wa mguu

"Hii ni hereni ya Susi mdogo wangu imefikaje humu chumbani?" Malkia Suze aliuliza huku akimkazia macho mumewe

"Hereni ya Susi, imekuwaje...!" Mfalme Longe alibabaika......

Dondosha Comment yako Chapchap
Bofya Like ili Tamthilia hii kali iendelee

NCHI YA DHAMBI
SEHEMU YA~ 04


   *********

"Uuuuuumh aaaaghhhh!" Miguno ilikuwa mingi ndani ya chumba cha mama wa mfalme Longe, bi. Tusa (68), mjane wa mfalme Daso aliyefariki miaka takribani kumi (10) iliyopita vitani

 Mwanamke huyu aliye katikati ya utu uzima kuelekea uzee alikuwa yupo moto' akipashwa na kijana askari, Lari (26) kitandani

  Miguu yake ilikuwa mabegani mwa kijana huyo mdogo ambae ni sawa tu na mjukuu wake, huku akiwa amelala chali, kijana Lari akiwa amepenyeza Jogoo' wake ndani ya uchi wa mwanamke huyo akimsugua, huku akimshikashika na kuyatomasa tomasa matiti yake kifuani yaliyoshuka, wote wakiwa watupu kama walivyozaliwa

  Dakika zilisonga, zilipita dakika ishirini, na mwishowe dakika thelathini (30) nusu saa, bi Tusa akiendelea kupewa mahaba huku akilia lia kama msichana mdogo, mpaka aliporidhika na kijana huyo akashusha mzigo ndani ya uchi wa mwanamke huyo huku akishusha pumzi ndefu ya uchovu, ikiwa ni mara ya pili ndani ya lisaa tu kufanya mapenzi na wanawake wawili kwa mpigo, yaani mtu na mama mkwe wake (malkia Suze na bi Tusa)

"Nafikiri umeridhika!" Kijana Lari alimwambia mwanamama huyo akimbusu busu shingoni

"Oooppsss usiache kuja kila wakati nitakapokuhitaji mwanangu!" Bi Tusa alimwambia huku akihema kwa kasi na kuguna guna wakati akipewa mabusu ya shingo yaliyokuwa yakimtekenya tekenya

"Hapana itakuwa ni hatari kwangu!" Lari alimjibu
"Hatari ipi kwako?" Bi Tusa alimsukuma kijana huyo kwa hasira ghafla mpaka Lari akashangaa

"Samahani mtukufu mama mfalme, ikijulikana maisha yangu yatakuwa hatarini!" Lari aliongea akiinamisha kichwa chake

"Vaa nguo zako toka chumbani kwangu!" Bi. Tusa aliongea kwa hasira ambazo kijana Lari hakuelewa zimetokea wapi

"Samahani mtukufu mama mfalme!" Lari aliokota nguo zake akavaa taratibu na kurudi kinyume nyume akatoka ndani ya chumba hicho akimwacha mwanamke huyo amekasirika, hasira ambayo hakuijua imetoka wapi


  Lari alipotoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na mtumishi mkuu wa malkia Suze, bi Redo aliyekuwa akitembea tembea kuhakikisha jumba la mfalme safi wakati wote pamoja na kwamba ni usiku mnene kila mtu amelala (kasoro askari walinzi)

"Vipi kuna usalama?" Bi Redo alimwuliza Lari
"Salama tu!" Lari alijibu lakini suruali yake kumbe hakuifunga vizuri, akaendelea na safari yake

"Mh, na suruali ilivyokaa vile kuna usalama humo chumbani kwa mama mfalme alipotoka huyu, mbona siielewi elewi nyumba hii sikuhizi?" Alijiuliza bi. Redo kichinichini akainua mabega tu juu kumaanisha haelewi, kisha akaendelea na safari yake akiwa amebeba shina la zabibu kwa ajili ya kutengeneza mvinyo wa mfalme itakapofika asubuhi...

 Upande wa pili, chumbani kwa mfalme Longe na mkewe malkia Suze mambo yalikuwa siyo mambo, walibaki wametazamana kwa dakika moja, ukimya ukiwa umetawala, malkia Suze akiwa na hereni moja mkononi akisubiri majibu kutoka kwa mumewe huyo

"Nasubiri jibu kutoka kwako, naona unanitazama tu, hii hereni ya mdogo wangu Susi inafanya nini humu ndani na imekujaje kujaje humu?" Malkia Suze aliongea

"Nikuulize wewe mwenye mdogo wako, imekuwaje, au alikuja kupiga stori humu ndani chumbani na ameanza lini kuingia chumbani kwetu na hiyo tabia nani ameiruhusu?" Mfalme Longe alimgeuzia kibao mkewe malkia Suze, huku akipanda kitandani na kujifunika shuka

"Yani mimi nakuuliza swali nawe badala ya kunijibu unauliza swali?" Mkewe alimtazama akiwa amejishika kiuno

"Njoo tulale!" Mumewe alimnyooshea mkono, mkewe huyo hakuupokea, akapanda kitandani akilivua gauni lake la kulalia na kulala pembeni wakiachiana mita kadhaa bila kugusana

 Zilipita dakika kama tano (05) kila mtu akiwa kimya bila kumsemesha mwenzake, mfalme Longe akaanza kuupeleka mkono taratibu kwenye matako ya mkewe huyo aliyelala kifudifudi akaanza kumshika shika, lakini mkewe akautoa mkono wake, lakini hakukata tamaa, akaupeleka tena mkono ukakamatwa lakini safari hii mfalme Longe hakukubali mkono wake urudishwe akaukaza kisha akaukamata mkono wa mkewe kwa mkono mwingine akainuka alipokuwa amelala na kumlalia mkewe kwa juu, huku akimbananisha mikono yake kwa nyuma asifurukute

"Unataka nini niachee!!" Malkia Suze alifurukuta kujaribu kujinasua mikononi mwa mumewe huyo mwenye mabavu'

"Nataka chakula changu kilichokufanya mpaka sasa unaitwa malkia, hujanipa siku nyingi!" Mumewe alimnong'oneza sikioni

"Sikupendi sikupendi sikupendi, na sihitaji tendo nawewe naomba niachee??"

"Nataka nataka nataka hata kama hunipendi nitakula tu leo!" Mfalme Longe alijibu na kumchomeka Jogoo' wake ghafla na kwa lazima kwenye uchi wa mkewe huyo akiwa amemkamata mikono asifurukute

"Sitakiiiiiii!!!" Malkia Suze alipiga mayowe akijaribu kujinasua mikononi mwa mumewe huyo lakini asiweze, ndo kwanza mfalme Longe kwa nyuma akaanza kumsugua mkewe huyo kwa lazima bila ridhaa yake.....


.........
.......

 Hatimae kulikucha asubuhi ndani ya nchi ya Toro, asubuhi na mapema, mwanadada Susi mdogo wa malkia Suze alikuwa akizunguka zunguka tu na kutembea tembea kwenye ngazi, akiitafuta hereni yake moja, ya dhahabu, aliyopewa zawadi na mchumba wake, mfanyabiashara mkubwa wa madini

  Susi alishakumbuka kuwa huenda ilianguka chumbani kwa dada yake, malkia Suze na mumewe mfalme Longe, muda ule alipokuwa akifanya mapenzi na mume huyo wa dada yake, kabla dada yake hajarudi kutoka safari aliyoenda

  Mara mlango wa chumbani kwa malkia Suze ukafunguliwa, mwanadada Susi akiwa hachezi mbali na eneo hilo akivizia dada yake huyo atoke tu ili aingie ikiwezekana akachukue hereni yake hiyo moja

 Malkia Suze alitoka taratibu chumbani uso wake ukiwa umekunjamana kwa hasira na macho yamekuwa mekundu, Susi alipomwona ikabidi azuge tu na kujipendekeza kumfuata ili asigundue chochote

"Dada vipi unaumwa?" Alimfuata na kumshika
"Siumwi!" Malkia Suze alimjibu kwa mkato
"Sasa mbona uso huko hivyo na macho mekundu?"

"Nipo sawa tu, nimekuona unatembea tembea unatafuta nini?"

"Hapana dada kuna mambo tu natafakari!"
"Kweli??"
"Kweli, kwanini?"
"Nikahisi kuna kitu labda umepoteza!"

"Hapana dada!"

"Na hii hereni ni ya nani Susi??" Malkia Suze alimwonyesha mdogo wake huyo ambae alionekana kushtuka kidogo 

"Hereni yang....uu!" Susi (28) alibabaika mbele ya dada yake

"Imefikaje fikaje chumbani kwangu??!!" Malkia Suze alimwuliza mdogo wake huyo akimkazia macho.....


InaendeleaNCHI YA DHAMBI
SEHEMU YA ~ 05


   **********

  Kijana askari, Lari, leo zamu yake iliisha ya kukaa lindoni ndani ya jumba la mfalme (kasri) alikuwa nje akipewa posho ya siku na mkuu wake wa kazi, jenerali Isba, ili aruhusiwe kurudi nyumbani baada ya kumaliza siku zake tatu za kulinda jumba la mfalme, hasa upande wa ndani kabisa wa chumba cha mfalme Longe na mkewe Suze, bila kulala usiku na mchana

Wakati akipewa maelekezo kadhaa na jenerali huyo, bi. Tusa mama wa mfalme Longe alitokea na kuona Lari akiaga akitaka kuondoka

"Asiondoke huyo kijana!" Bi Tusa alimwambia jenerali Isba

"Kwanini mtukufu mama mfalme?" Jenerali Isba alishangaa na kijana Lari mwenyewe (26)

"Sihitaji maelezo mengi, aongezewe siku tatu za kazi!"

"Sawa mtukufu mama wa mfalme!" Jenerali Isba aliinamisha kichwa chake kukubaliana na amri ya mwanamke huyo, ambae taratibu aligeuka na Lari akamfuata nyumanyuma

"Mtukufu mama mfalme kwanini unanizuia nisirejee nyumbani?" Lari alimwuliza mwanamke huyo akageuka na kumtazama kwanza kwa sekunde kadhaa

"Sababu nakuhitaji, sipendi uwe mbali namimi!" Mama huyo (68) alimjibu kijana Lari (26) kisha akamkonyeza na kumpiga busu la hewani na kuendelea na safari yake, Lari akabaki amesimama tu asijue cha kufanya akabaki tu akitikisa kichwa, na mara ghafla mikono kutokea nyuma ikamfunika macho

"Nani??!!" Lari aliuliza akitaka kuitoa mikono hiyo

"Otea nani?" Sauti ya kike ilimwuliza 
"Cesy??" Lari alijibu
"Ndiye mimi!" Msichana huyo akaitoa mikono yake machoni mwa kijana Lari ambae aligeuka wakatazamana

  Hakuwa mwingine ila ni binti mfalme Cesy (22) msichana mrembo ambae alitokea kumpenda sana kijana Lari

"Unavyofanya hivyo mtu akituona utanitia matatizoni Cesy wakati tuna urafiki tu na hatulingani mimi ni mtumishi nawewe ni binti mfalme, matabaka mawili tofauti!" Lari alimwambia msichana huyo

"Matabaka ndiyo nini, mimi nakupenda Lari sana na nipo tayari kwa lolote lile!" Cesy alimjibu

"Cesy....!"
"Shiiiiii!" Msichana huyo alimnyamazisha Lari kwa kidole mdomoni na kumpiga busu zito la kinywani kijana huyo akabaki ameduwaa kama sanamu la kwenye duka la nguo, kisha Cesy akaondoka taratibu huku akizidi kumtazama Lari ambae nae alimtazama, wakawa wakitazamana

 Lakini kulikuwa na askari Jeda, adui mkubwa wa kijana Lari, ambae alikuwa anampenda sana bintimfalme Cesy, alikuwa amejibanza kwenye nguzo na akaona binti mfalme Cesy alivyombusu kijana Lari, kitendo hicho kilimuuma sana na kuongeza chuki dhidi ya askari mwenzake, Lari

"Tutaona kati ya mimi na wewe nani mjanja Lari, huwezi kuingia kwenye vita na Jeda, ukabaki salama!" Askari huyo alijisemesha kimoyomoyo akiufuta futa upanga wake huku akimtazama Lari....

  Upande wa pili malkia Suze alikuwa akitazamana uso kwa uso na mdogo wake Susi

"Hereni hii imefikaje chumbani kwangu?" Alimwuliza
"Mh dada nawewe umesahau gauni nililokuazima nikalirudisha yawezekana ilinasa humo maana nimeitafuta wala sijaiona!" Susi alitunga uwongo wa papo kwa hapo 'mwendokasi' ili kuushinda mtego huo wa dada yake

"Oooh nisamehe mdogo wangu kuna mambo yamenivuruga sijui ninawaza nini!"

"Usijali dada, nakuelewa na nipo pamoja nawewe!" Susi alimkumbatia dada yake huyo, malkia Suze, na wakati huo mlango wa chumbani kwa mfalme ulifunguliwa, akatoka mfalme Longe ambae alisimama mlangoni na kutupa jicho pembeni akamwona mkewe amekumbatiwa na mdogo wake, Susi, macho ya Susi yakagongana na mfalme Longe (shemejie) wakakonyezana na kupigana mabusu ya hewani, malkia Suze akiwa amempa mgongo' mfalme Longe mumewe asijue, kinachoendelea nyuma ya mgongo wake, lakini mtumishi wake mkuu, bi Redo alikuwa akikatiza pembeni akaona walichofanyiana mfalme Longe na shemejie, Susi

"Nakuonea huruma malkia, adui yako ni wa karibu yako kabisa tena damu moja!" Bi Redo alijisemesha kimoyomoyo akitikisa kichwa chake......

...

  Upande mwingine ndani ya jumba la waziri mkuu mzee Poso (50) wa pili kimamlaka katika nchi ya Toro, kutoka mfalme Longe, na mjomba wa mfalme huyo, kuna ugeni unaingia ndani mwake, si mwingine ni wa wanawake watatu, wakiongozana na dalali au wakala ambae waziri huyo mkuu umtumia kujitafutia wanawake wazuri na warembo wa kulala nao kila anapohitaji

 Waziri mkuu mzee Poso ni mtu mpenda wanawake sana, humuagiza dalali wake amletee kila siku wanawake wa kulala nao, akiwa ameachana na mkewe takribani miaka mitano (05) iliyopita kutokana na tabia zake hizo chafu'

"Mzee leo nimekuletea watoto wakali sana, watatu wakupe burudani mpaka ushindwe wewe!" Dalali wake huyo alimwambia alipoingia sebuleni na kumkuta waziri huyo mkuu amekaa kwenye kochi (asubuhi)

"Aisee kweli unajua ninachokitaka, watoto wametulia!" Waziri mkuu mzee Poso alisimama, mate yakimdondoka' baada ya kuona warembo watatu wakiwa mbele yake tena wamevaa nusu uchi,

"Sawa mimi nakuachia kazi hizo!" Wakala wake alimwambia waziri mkuu akampa sarafu za kutosha kama malipo, kisha wakala wake huyo akaondoka

 Wanawake hao watatu walitazamana kisha wakamvamia waziri huyo mkuu na kumsukuma akaangukia kwenye kochi lake, kila mmoja akavua nguo zake wakamsogelea kwenye kochi na kumvua mzee huyo kanzu (joho) aliyovaa akabaki kama alivyozaliwa kisha mmoja akamkamata jogoo' wa mzee huyo na kuanza kumnyonya taratibu 

"Aaaaaassss!!!" Waziri mkuu alipiga mayowe alipoanza kunyonywa jogoo (uume) wake huku akiwa amefumba macho akiskilizia utamu, wakati huo wanawake wawili walizunguka nyuma ya kochi mmoja akatoa kikaratasi kilichokuwa na unga unga alichokificha kwenye nywele zake akampa mwenzake

"Huu ndio muda muafaka!" Mwanamke huyo alimnong'oneza mwenzake kwa sauti ya chini sana, mwenzao akiendelea kumpagawisha waziri mkuu mzee Poso ambae sasa alimkalia Jogoo wa mzee huyo aliyezama kwenye uchi wake na kuanza kuzungusha kiuno chake taratibu

 Waziri mkuu mzee Poso alibaki amefumba macho na kuachama mdomo wake akisikilizia raha wakati akingonoka na mwanamke huyo ambae amekuja na wenzake hao wawili kumpa mapenzi, jumla wakiwa watatu

"Usijali, kazi lazima tuikamilishe tukipate tunachokitaka ngoja akishamaliza kumpa raha ikifika zamu yangu, kazi itakuwa imekwisha kabisa!" Mwenzake huyo alimjibu alipokopokea kikaratasi hicho akakifungua na kuutoa unga unga huo wa rangi ya maziwa, kisha akajipaka taratibu kwenye chuchu za matiti yake......


Inaendelea! 

Post a Comment

Previous Post Next Post