*SIKUACHI BABY* (8)


Kuna kipindi kilifika nilianza kuchoka, nilihisi kuna siri Samira alikuwa akinificha na ndiyo iliyosababisha mpaka akawa ni mtu wa kunipiga kalenda, kila nilipokuwa nikimuhitaji kimapenzi alikuwa akiniwekea vikwazo lukuki.
“Kuna kitu gani unachonificha?” nilimuuliza.
“Hakuna kitu,” alinijibu.
“Mbona linapofikia suala la kufanya mapenzi unakuwa ni mtu wa kuweka vikwazo.”
“Sio hivyo Metu.”
“Sio hivyo nini sasa?”
“Tutafanya tu.”
“Lini?”
“Nitakwambia.”
“Unanipenda?”
“Ndiyo tena sana.”
“Kwanini hutaki kunipa penzi lako lina nini?” nilimuuliza lakini jibu lake lilikuwa ni lile lile, hakutaka kufanya mapenzi kwa kipindi kile na alidai kuwa kuna siku ingefika kisha angeweza kuniambia.
Nilizidi kushangazwa na aina ya mapenzi ya Samira, alikuwa ni msichana wangu wa tofauti sana ukitofautisha na wasichana wangu wote niliyowahi kutembea nao.
Naweza kusema aliwazidi kuanzia uzuri, umbo, elimu mpaka kazi yake, alikuwa ni msichana mwenye malengo ya kimaisha lakini alikosa ulaini wa kunikubalia kufanya naye mapenzi, nilipokuwa nikimbembeleza kwa lengo la kunipa mapenzi alikuwa mgumu sana.
Hilo likazidi kuwa tatizo katika mapenzi yetu ingawa nyuma ya pazia nilikuwa nikishiriki tendo na Bianka kikamilifu lakini tamaa zangu za kimwili hazikuacha kumtamani Samira, nilichokuwa nakifikiria siku zote ni kumvua nguo zake za ndani tu!
“Usifikiri wasichana wote unaotembea nao wana akili sawa wengine wanajielewa,” aliniambia Amani huku akinicheka.
“Sijui kwanini ananibania uchi wake?” nilimuuliza.
“Hapo kazi unayo,” alinijibu.
“Lakini lazima nitalala naye tu!”
“Huwezi.”
“Lazima nitaweza,” nilimwambia.
Sikukata tamaa, niliendelea kila siku kumbembeleza Samira lakini bado alizidi kunikatalia kabisa na mpaka kufikia wakati huo sikufahamu ni sababu gani iliyokuwa inampelekea mpaka ananikatalia.
“Mimi ni nani yako?” nilimuuliza usiku mmoja nilikuwa nikizungumza naye kwenye simu.
“Mpenzi wangu,” alinijibu.
“Sasa kwanini unanyima haki yangu?”
“Haki gani?”
“Mapenzi, nahitaji mapenzi yako.”
“Nikuulize kitu?”
“Niulize.”
“Umenipendea nini?” aliniuliza swali ambalo jibu lake lilinichukua muda kujibu, sikulitegemea kwa wakati ule.
“Mbona umenyamaza?” aliniuliza baada ya kimya kifupi.
“Nimekupenda kama msichana wa ndoto zangu, niliyekuwa namfikiria kila siku, nimekusubiri siku zote nikiamini ipo siku nitakupata ili niweze kutengeneza maisha na wewe hatimaye nimekupata lakini unaonekana kama kutonijali, huzijali hisia zangu hivi unafikiri nitaishi vipi na wewe ndiye uliyeuteka moyo wangu?” nilimwambia kisha nikamuuliza swali, nikamsikia akivuta pumzi ndefu na kuziachia.
“Usiseme hivyo nazijali hisia zako,” alinijibu.
“Huzijali Samira, huzijali kama kweli unazijali huwezi kukubali niteseke kiasi hiki, naumia na hisia wakati nina mpenzi na hujali hilo,” nilimwambia kwa sauti ya kulalamika iliyokaribia na kulia.
“Metusela mpenzi wangu,” aliniita.
“Niambie.”
“Nimekubali ila naomba tutafute Lodge.”
“Kwanini?”
“Nimeamua tu! sitaki kila mtu anione.”
“Sawa hakuna tatizo,” nilimwambia.
Usiku huo ulikuwa ni usiku wa furaha sana kwangu, sikutaka kuamini kama Samira alinikubalia ombi langu. Kichwa changu kilianza kuzikumbuka Lodge zote zilizokuwa Tandika.
“Tufanye lini?”
“Kesho.”
“Huendi kazini?”
“Hapana kesho sina kazi nyingi hivyo nitaomba ruhusa wala hakuna tatizo.”
“Sawa.”
“Kwahiyo umepanga twende wapi?”
“Kuna Lodge moja tutaenda.”
“Iko sehemu gani?”
“Ipo hukuhuku.”
“Sawa,” alinijibu.
****
Siku iliyofuata mapema nilitafuta Lodge kisha nikaenda kumchukua Samira. Alionekana kuwa mwenye aibu sana, aliwahofia watu waliyokuwa wakimtazama.
“Achana nao,” nilimwambia.
Baada ya muda mfupi tukawa tayari tumeshaingia katika Lodge hiyo ambayo ilikuwa maeneo ya Tandika. Bado nilikuwa siamini kama nilikuwa naenda kufanya mapenzi na Samira.
Alinitazama kwa macho ya aibu huku akiving’ata vidole vyake, hakujua alitakiwa aanzie wapi kwa wakati huo ambapo tulikuwa tumekaa kitandani.
Sikutaka kuruhusu muda wa mazungumzo kwa wakati huo, nikaanza kumpapasa taratibu kuanzia kifuani kushuka mpaka kwenye mapaja, mwili wake ukazidi kuniweka katika hisia kali mno, nilikuwa tayari nimeshapandwa na mizuka. Niliendelea kumpapasa kila sehemu ya mwili wake mpaka pale alipoanza kupandwa na mihemko, akaanza kulegea taratibu huku akinitazama kwa macho legevu.
Niliusogeza mdomo wangu kisha ukakutana na mdomo wake, kitendo kilichoendelea kilikuwa ni kuanza kubadilishana mate, niliutumia utundu wa kuuzungusha ulimi wangu ambao niliupitisha katika fizi zake, wakati huo mikono yangu ilikuwa bado ina kazi ya kumpapasa.
Sikutaka kuendelea kuwa mzembe wa kunywa juisi ya mlenda wakati mtoto alikuwa tayari ameshahama dunia nyingine, nilichoamua kukifanya ni kuanza kumvua nguo zake, nilipomaliza nikazivua na zangu.
Macho yangu yakapata wasaa wa kumtazama kwa mara ya kwanza akiwa uchi wa mnyama, nikatabasamu kisha nikambusu tumboni, wakati huo alikuwa amelala kitandani, alionekana kuwa mwenye aibu sana, macho yake alikuwa ameyafumba kwa kutumia viganja vyake.
Sikutaka kuzijali aibu alizokuwa nazo kwa wakati huo, nilichokuwa nimedhamiria kukifanya ni kufanya naye mapenzi tu!.
Wakati alipokuwa amelala pale kitandani huku akiwa ameyafumba macho yake nikaanza kumlamba chuchu zake huku nikiwa kama nazing’ata kwa kutumia lips zangu.
“Aiiisssshhh,”alitokwa na mguno huu baada ya kumfanyia mchezo huo.
Sikukoma, niliendelea kufanya hivyo katika chuchu zote, hali ilibadilika sasa yale macho aliyokuwa ameyafumba akawa ameyafumbua, akawa ananipapasa kichwani huku akishuka mgongoni nilipokuwa nikiendelea kuzilamba chuchu zake.
“Aaaiiissshhh aaaahhhhhh,” alizidi kutokwa na miguno.
Nilijitoa ufahamu kisha nikaanza kutembea na ulimi tumboni mwake mpaka pale nilipofika kisimani.
“Aaaaiiiiiii,” aliguna kisha akavuta pumzi ndefu na kuziachia kwa pupa.
Nikaanza kazi ya kusafisha kisima huku nikitumia kidole changu kusugua katika kile kiharage, akaanza kutokwa na lugha za ajabuajabu, sikuishia hapo nikaendelea kumuonyesha utundu wangu katika kumuandaa.
“Metu basiii naumiaaaa,” aliniambia wakati huo nilikuwa nimeshahama kutoka pale kisimani nilikuwa nimehamia upande wa masikioni, nilikuwa kama kuna kitu nataka kumnong’oneza aliponiruhusu nifanye hivyo nikaanza kuutumia ulimi wangu kulamba sehemu za ndani za sikio lake. Kitendo hicho kikazidi kumfanya atokwe na ukulele mkubwa sana huku akiwa amenikumbatia kwa nguo.
“Basiiii babyyyy inatoshaaaa naumiiiaaa,” aliniambia kisha akanitaka niingie mchezoni.
Kabla ya kufanya hivyo nilimwambia acheze na mtwangio wangu aliyekuwa amekasirika kwa wakati huo lakini kitu cha ajabu alikataa kufanya hivyo.
“Ilambe basi kwanza,” nilimwambia.
“Siwezi mpenzi ingiza tu,” aliniambia.
“No! mpaka uilambe.”
“Siwezi kufanya hivyo.”
“Baby.”
“Ingiza mpenzi,” aliniambia.
Nilichoamua kukifanya nilitumia mate yangu kuulainisha mtwangio wangu ambao ulikuwa umesimama kikakamavu kabisa, nilipomaliza nilimrudia Samira, nikampanua mapaja yake akawa amelala staili ya kifo cha mende, nikauingiza mtwangio.
“Aaaahhh oooohhhhh auuuuh aaaahhhh,” alianza kutokwa na miguno nilipoanza kazi ya kutwanga kinu.
Kila sekunde iliyokuwa inapita nilizidi kuongeza kasi ya kutwanga, hali ambayo ilizidi kumfanya Samira azidi kutokwa na miguno lukuki pale kitandani.
Alianza kuyakusanya mashuka yaliyokuwa yametandikwa vyema pale kitandani, aibu zilikuwa zimemtoka, akazidi kunitazama huku macho yaliyolegea yakinidhihirishia raha aliyokuwa akiipata kwa wakati huo.
Niliendelea kutwanga kinu huku hisia nazo zikizidi kunipanda, nikaanza kutokwa na miguno, nilikuwa nakaribia kuwatoa wazungu weupe na baada ya sekunde chache nikawa tayari nimeshawatoa, niliwamwagia ndani.
Tulibadilisha staili kama nane na kila staili niliyobadilisha nilihakikisha namtwanga vilivyo kinu chake. Sikumuacha mbali katika kuyatoa mashuti yake, alikuwa mwepesi wa kufunga magoli ya mfululizo na mpaka mwisho wa mchezo alikuwa amefunga magoli yasiyokuwa na idadi.
Siku hiyo tulilala katika Lodge hiyo huku mchezo ukiwa ni huo huo usiku kucha, nilihakikisha namaliza hasira zangu zote.
****
Baada ya kupita miezi mitatu maisha yangu yalibadilika kwa asilimia kubwa sana, Samira alikuwa akinipa pesa ambazo nilizitumia katika kubadili muonekano wa chumba changu, alinibadilisha kwa kiasi kikubwa sana, nilikuwa nikipendeza.
Niliishi maisha hayo huku nikiendelea kumchanganya na wasichana tofautitofauti niliyokuwa nikikutana nao mpaka pale siku moja ambapo niliweza kupigiwa simu na Bianka, nilipopokea alikuwa akilia kwa wakati huo na sikujua ni nini kilichokuwa kinamliza.
“Kuna nini?”
“Naumbuka Metu.”
“Unaumbuka na nini mbona sikuelewi?”
“Nina mimba yako.”
“Una mimba yangu?”
“Ndiyo Metu nina mimba yako,” alinijibu.
Sikutaka kuamini kile alichoniambia Bianka, nilihisi kuchanganyikiwa kwa muda baada ya kusikia maneno hayo.
Kama haitoshi nikapata pigo lingine tena, nilipigiwa simu na namba ngeni, nilipopokea ghafla! nilipata vitisho vikali kutoka kwa mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni mume wa Samira, aliniambia nikae mbali na mwanamke wake huyo lasivyo nilikuwa najihatarishia usalama wa maisha yangu.

ITAENDELEA 

Post a Comment

Previous Post Next Post