IN'BOBO 05. lovestory



ilipoishia.

"tuuundaa usinitese hii......vy....ooo,niingizie hiyo kitu yako,plz niingizie mi naitaka.....oooiiiiishiiii naitaka hiyo tunda nipe bhana.....mi tayari.......mi tayariiii huuuuu......uuuukuuu aaaiiyaaa,niwekee tundaaaa usichelewe"mariana alikuwa akililia shafti yangu.mariana alipokuwa akilalamika hivyo,huku chini alikuwa akisumbuka kuisaka bakora yangu,alipoipata akafikia kuilekezea kunako mbunye yake,kisha akajisukuma kiaina....chombo ikazama taratibu taratibu hadi yote ikapotelea pangoni.mariana akaanza kukata kiuno,huku nami nikimsaidia kwa kuanza kutoa na kuiingiza shafti yangu mle pangoni mwake,sekeseke likanoga tukiwa vile vile tumesimama huku mimi mguu mmoja wa mariana ukiwa juu juu nimeumanua,shafti yangu ikiingia na kutoka kunako kitumbua cha mrembo huyu ambaye nimejuana nae leo leo na nimepata zali la kuila nyapu yake....

Songa nayo.

Kama dakika zisizo pungua saba kidume niliendelea kula mzigo tukiwa katika staili ya kusimama,hadi pale Mariana aliponiomba nimbadilishie staili.bhasi bhana sikubisha,chapu nikamgeuza kimwana mariana,akainama na kukishika kitanda,alafu akajipinda kidogo kwenye kiuno chake hivyo akafanya zigo lijinyanyue juu kiaina na kufanya aonekane katika staili ya kupendeza sana.sekunde kadhaa mbele tayari ukuni wangu ulikuwa umeshazama kunako tamu ya mariana.tena staili hii ya kamatia kitanda ilipelekea dudu langu liwe na uwezo wa kupenya vyema hadi kufika katika kina kirefu zaidi cha nyapu ya bibie huyu ambaye kwa hakika naweza nikasema kwamba mungu alinibarikia niwe nae kwenye usiku huu.haikuishia hapo tu,tuliendelea kubadilisha staili kadri tulivyokuwa tukipenda hadi pale tulipoona kwamba tulikuwa tumeshapeana malovee vya kutosha ndipo tulipoacha na kupumzika.

"goodlucky........" Mariana aliniita katikati ya maongezi ambayo tuliyaanzisha baada ya kutoka katika mechi ya kikubwa iliyokuwa imemalizika muda punde.

"Mmnhh!!!" nilimuitikia kwa kuguna tu pasipo kuongea neno lolote.baada ya kumuitikia nikamshuhudia akijisogeza vyema kunako kifua changu kisha akasema.....

"nimeugundua utofauti kati yako na jerome....Jerome alikuwa akinifikisha kweli lakini si kwa kutumia utaalamu wake,ni hadi muda mwingine nilikuwa nikimuelekeza jinsi ya kunifanya ndipo alikuwa akifuatisha.ila kwako nimepizi pasipo kukuelekeza.utaalamu wako umeutumia vyema kabisa.alafu huwezi amini,pale nilipoinama nimemwaga Mara mbili kote....."lakini wakati Mariana anaendelea kuongea,ghafla alikatishwa na mlio wa Meseji ambayo iliingia katika simu yangu.nilishangaa kiukweli manake usiku ulikuwa mkubwa sana,katu sikufikiri kama angekuwepo mtu wa kunichatisha kwa usiku mnene kiasi hiki.nilinyoosha mkono wangu hadi juu ya meza,ambako simu yangu ilikuwako juu yake,nikaichukua kisha nikaifungua ile text iliyokuwa imeingia muda punde.ulikuwa ni ujumbe mfupi sana ambao ulitoka kwa marry,yule msichana wangu.sms yake ilikuwa ni ya malalamishi juu ya kile alichokiona mchana pale sokoni(YANI ALIMAANISHA MUDA ULE ALIPONIKUTA NIKIZUNGUMZA NA HUYU BINTI NILIYENAYE SASA(MARIANA).alidai kwamba eti nimeanza kumfanyia vituko kwa sababu tayari nilishajua napendwa na yeye...kitu ambacho alikuwa amekifikiria ndivyo sivyo.ukimya ulitanda baada ya mimi kuisoma ile meseji,niliifikiria kwa undani zaidi karibu dakika kadhaa,hali iliyopelekea Mariana ahoji.....

"ni msichana wangu.muda ule najibizana na wewe pale sokoni alikuja.so amekasirika sana baada ya kutukuta tumesimama wote.kivyovyote alijua we ni mwanamke wangu pia......."nilimfafanulia Mariana,baada ya yeye kunihoji kile kilichokuwa kimeandikwa kunako ujumbe uliotumwa kwenye simu yangu.

"Kwa hiyo anasemaje........" Mariana alinitwanga swali.

"hajapendezwa na kile nilichomfanyia.......anadai amekosa usingizi mpaka muda huu kutokana na hilo"nilihitimisha.hapo Mariana akanyamaza kidogo kabla ya kusema...

"Mpigie" hiyo ni kauli iliyonishangaza sana.sikujua ni kwa nini Mariana aliniomba nimpigie marry simu nyakati kama hizi.

"Alafu nikimpigia nitamwambia nini......"niliuliza swali la kitoto.

"lucky bhana we si mwanaume??!!,utajua cha kumwambia.ila kupiga kwako simu kutamuondolea kiwango fulani cha stress alizonazo.plz mpigie......wanawake tunapenda kubembelezwa sana.mliwaze mwenzio....."Mariana aliongea kabla ya kunyamaza na kuniachia nafasi ya kufanya kile alichoniomba nikifanye.kiasi fulani niliuona ustaarabu wa mariana kwani mara nyingi wanawake huliliana wivu ile mbaya aisee.bhasi sikukawia...sekunde kadhaa simu yangu ilikuwa sikioni huku upande wa pili nikisikia muitikio wa simu ya marry,baada ya Mimi kumpigia.

"Mbona unaniwazia ndivyo sivyo marry mpenzi wangu,inamaana huniamini...."nilijifanya kuanza kujibebisha ili kuufuta ule upuuzi wangu ambao marry aliouona mchana,japo kiuhalisia sikuwa na dhamira ya kuongea na mariana kwa muda ule wa mchana,hiyo ilikuwa ni baada ya salamu za hapa na pale kisha kufuatiwa na kuulizana vijiswali kadhaa ambavyo havikuwa na maana yeyote.

"hivi tunda.....unanichukulia mi'mtoto Sana si ndio?.yani vile ulivyokuwa umesimama na yule mdada unaweza kukataa kwamba sio mwanamke wako???......"

"Marry,sitaki kukuongopea na kamwe sintokuja kukuongopea,.......naapa mpenzi wangu,yule mwanamke uliyenikuta nae walaah tena sina mahusiano na yeye kabisa,hakuna sababu ya mimi kukudanganya malikia wangu.hivi kwako nimekosa nini hadi nitafute mwanamke mwingine eeh?...mi naamini ka'baby kangu umetimia kila sekta.nitake nini kwa wengine laazizi wangu ambacho we huna.amini kila nikitakacho ninakipata kwako,siwezi kupoteza muda wangu kwa mwanamke mwingine isipokuwa wewe....."bhasi bhana nikamdanganya marry kwa kutumia maneno ya uongo na kweli hadi pale alipoonesha kunielewa.

"mmnnhh!!!yani we'mwanaume kwa maneno mi sikuwezi aisee.manake umenilainisha hadi nimelainika jamani.....ooofpphhh,yani mpaka stress zangu zimetoka duuuuu."ilikuwa ni moja ya kauli aliyoiongea marry kunidhihirishia kuwa kwa kiasi Fulani maneno yangu yalimpa faraja.

Baada ya kuyaweka mambo sawa mimi na marry,nikakata simu yangu Huku marry mwenyewe akiniaga kwa kiss zito tayari hasira zake zilikuwa zimekata.Kitendo cha kuweka simu mezani,ghafla nikakutana na mdomo laini wa kimwana Mariana.ni dhahiri alikuwa anaombea kama mazungumzo yangu katika simu yaishe ili tu apate Uhuru wa kufanya kile alichokuwa amepanga kukifanya.Hakutaka kusubiri aliudaka mdomo wangu na kuanza kupata denda.unajua hadi sasa ilikuwa ikikaribia masaa ya adhuhuri,kana kwamba usiku ndo huo ulikuwa ukienda ukingoni alafu ndo kwaanza Mimi na mariana hatukuwa tumelala ata kidogo.muda wote ilikuwa nikushughulikiana tu na sio vinginevyo.hata muda huu ambao nilijua tutapumzika,mwenzangu tena maruhani yake yamemuamka,.....mbona ntakoma tunda mie.lakini kwa sababu nilijijua kuwa nilikuwa kidume haswaa ata sikutaka kumuacha mariana aniendeshe.nilichokifanya....nilimtia adabu mpaka akawa anapumulia juu juu.

*****

Sokoni,kama kawaida nilikuwa napiga zangu business bila kuwa na shida yeyote,japo kuna muda nilionekana kupiga miayo lakini haikuwa shida sana,nilipambana nayo vyema ili isije nitawala kiasi cha kunifanya nisinzie au nifanye ujinga wowote utaoridhihirisha kwa wengine kuwa kidume mie nilikuwa nasinzia...tena si kusinzia tu,yani kusinzia nikiwa kazini.uchangamfu pamoja na ucheshi niliokuwa nao katika biashara yangu ya kuuza matunda ulinifanya niwe mpenzi wa kila mteja.kwani Mara zote nilikuwa na imani kwamba wateja huwa ndio mabosi wa wafanyabiashara wote,hivyo nilikuwa na adabu nao sana.

"mwanangu una nidhamu sana,nimekupenda.ukiindelea hivi utafika mbali mno" hii ni kauli ya mteja wangu mmoja,mwanamama wa makamo ambaye pia nilimhudumia kwa siku ya Leo.nilifarijika sana,baada ya kusikia maneno yale ya kunitabilia mazuri Kutoka kwa yule mteja Wangu.

Nikiwa room kwangu baada ya kutoka katika shughuli yangu,nilipokea simu kutoka kwa rafiki yangu kipenzi Alice.lakini siku hii niligundua kuwa hakuwa sawa,ni kama alikuwa amekelwa kwa kiasi fulani.hayo yalikuwa ni mawazo yangu tu ambayo yaliitafsiri lugha ya hali iliyomkuta Alice.

"nitakuwa mbali na wewe lucky kwa muda ambao sijaufahamu bado,daddy ameniunganisha na chuo fulani huko ulaya.najisikia vibaya kukuacha peke yako ilhali tayari tulishazoezana kuzungumza mara kwa mara.....nitakumisi mno lucky,lakini sina jinsi natakiwa nikasomee huko maybe nikimaliza pengine ndo ntarudi"Alice aliongea katika hali ya majonzi Sana,ilifikia muda kidume nilihisi kuumizwa na vile nilivyokuwa navisikia kutoka kwa Alice.

"Huna haja ya kuhuzunika alice,wewe bila elimu katu hutokuwa alice uliyekamilika.nenda kaipate elimu itakayowasaidia wazazi wako hapo baadae pamoja na mumeo utakayekuja kuishi nae.mazoea yetu katika kufahamiana kwetu si sababu ya msingi ambayo inaweza ikaitia dosari safari yako.....usijali we nenda kasome,naamini huko hutokaa milele,ipo siku utarudi tu natutaendelea na mawasiliano yetu...."nilijaribu kumfariji alice.

"mmnhh!!!hujui tu lucky......ivi unajua tangu nimefahamiana na wewe nimeishi maisha flani ambayo sikuwa naishi apo mwanzo......,yani nimekuwa mwenye furaha masaa yote kutokana na maneno yako ya faraja unayoniambiaga siku zote.......,lucky sikufichi umekuwa sehemu ya furaha yangu kuwa mbali na wewe nahisi ntapungukiwa vitu vingi."

"usiniambie hivyo alice.mimi sijawa sehemu ya maisha yako,siwezi kukupa furaha......zaidi nnachokupaga ni ushauri tu...."

"Najua we unafikiria hivyo,Ilaa mmnh!!lucky bhasi tu ngoja niishie hapo,ila ndo hivo mi ntasafiri kesho na ndege ya asubuhi mpaka uganda,alafu tena ntapanda ndege nyingine hadi Nigeria,huko ndo nitaenda panda ndege ya mwisho....."

"oky alice,acha nikutakie safari njema.....kasome kwa bidii sawa my dada.....mungu akipenda tutakuja kuonana tena"niliongea kwa kudhihirisha kwamba sikuwa na nyongeza ya kuongeza katika kile tulichokuwa tunakiongea.

"nashukuru lucky.nawe ubakie salama eeh"alice aliongea kauli iliyoashiria kuwa nae alifika tamati ya kuongea.hivyo sikuwa na budi kuiondoa simu yangu sikioni,lakini kabla sijaifikisha umbali mrefu kutoka lilipo sikio,nilisikia sauti ya Alice ikilitaja jina langu kama mara tatu hivi kumaanisha kuna kitu alitaka kukiongea kabla ya kukata simu yake.chapu nikarejesha simu kunako sikio.

"vipi tena alice"nilimuuliza.

"Samahani kuna kitu nilitaka kusahau kukwambia......"

"ennhee nakusikiliza"

°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
ALICE KASAHAU KUONGEA NINI,EBU TABIRI ANACHOTAKA KUKIONGEA.

 Itaendelea. 

Post a Comment

Previous Post Next Post