KIBUTI 04💃

Wakati Frank akipiga harakati zake za kumnyakua Nurat, kumbe kuna jambo lingine likiendelea upande wa pili bila yeye kujua. kunae hilo toto lingine lilikuwa linaitwa Rebecca. Mfupi flani, kajaa matata, mguu ni tembo na hapo nyuma kunastahili thread yake kabisa. Frank na ngekewa.

Rebecca alikuwa haelewi kwa Frank, yaan alishatuma marafiki ila jamaa akawa anapuuzia. Siku wakamuita mahali, bila kujua akaenda. Wakamkutanisha na Rebecca na kumwambia mnatakiwa kuongea, Rebecca alifunguka ya moyoni pale weee jamaa anasikiliza. Frank akaona ni mzuri, smart, etc.

ila ndo vile hajamuelewa. Rebecca akaaga, akiwa anaondoka Frank akaona baraka za Rebecca. Mwanangu Frank akabaki njia panda sasa, maana ugonjwa wake ni huo na ukichanganya na akili za Rebecca basi akawa na mawazo sana. Frank akanipigia simu, akanielezea yote na jinsi anavyowaza.

nikampa jibu moja tu “follow your heart bro”. Rebecca akawa anakaba hadi penati kwa Frank, maana alikuwa anajua connection ya Frank na Nurat so alikuwa anakomaa kuvunja ile hali. Rebecca akaomba waende dinner(kwao hamna njaa pia), jamaa akakubali. wakaenda dinner, wote walienjoy.

@hadithikali 

Post a Comment

Previous Post Next Post