KILIO CHA MDANGAJI 04



Tunaanzia tulipo ishia%
Asha *fanya chochote unachojisikia Mimi nipo kwa ajili yako my/kwa sauti nzuli ya upole na unyenyekevu,,nyie wanawake wakiwa kwenye mawindo yao mh
Maiko*nimefurahi kusikia ivo na pia nimeamini watoto wazuli kama nyinyi Wala amlingi Ila wangekuwa wakina mwajuma ndala
Aisha*ha ha ha my bhana /Huku akimshikashika kifuani na sehemu za,, 
Maiko alihisi kupagawa Huku mtoto akiwa anamwangalia usoni uku kalegeza jicho mithili ya kinyonga,,nakupenda maiko kwa kwa sauti ya mahaba
Maiko*alihisi sauti ya kinubi masikioni,,hata Mimi pia Ila apa so sehemu sahihi nimeshachukua chumba ,,/Asha,,ok my wewe tu/
Wakanyenyuka asha akatangulia maiko akawa nyuma akimtazama,,mh maiko akaguna uko nyuma baba atali ,,mabalia wa nchi kavu mpo?nimeamini nyumba choo,maiko akajisemea watoto wazuli kama Hawa ukiiwa na pesa utawafaidi
Wakaingia chmbani wakakaa kitandani,Asha akampiga busy Kali,maiko alipo taka kuludisha,asha akamstopisha
Asha_unakumbuka ahadi yetu
Maiko_*ndiyo a a 
Asha,,sifanyi chochote bila pesa!
Maiko*ok sawa shilingi ngapi
Asha*nalala au naondoka?
Maiko*sijanuna(kashakuwa na kiwewe)
Asha*pekupeku au na zana?
Maiko*ntakulaje pili na maganda!
Asha*shilingi35000
Maiko akatoa wa waleti wekundu kama wote,,asha macho yakamtoka,,mithili ya mtu kaenda kwenye shuhuli afu ajatoa mchango mda wa msosi akaambiwa huli.
Akampa ela yake ,,wakaingia katika mbingu ya ufamle wa kutomasana,,asha akimchezea mpaka maiko akasahau kama mkewe ana msubili nyumbani 
Maiko*asha nataka,kwa sauti ya talatibu
Asha*tumia maiko mimi mdigo mtoto wa kitanga ngoja nikupe vitu adim,,maiko alichoka kabla ya gem yenyewe wazungu walee kama nawaona
Asha*maiko nasikia joto ngoja nikajimwagie maji nije nikupe kitu looho unapenda
Maiko*saw my
Asha akachukua mkoba na kuingia nao chooni,,akaludisha mlango na kufungua mkoba na kutoa kile kichupa na tishu Bomba la sindano pamoja na pamba!!


Post a Comment

Previous Post Next Post