UNO LA MASIKINI 01 🔞


Katika pita pita za Christina akiwa na mashoga zake alipita maeneo ya ufukweni, ilikuwa mida ya usiku kabisa

"Tina tulipie" alisema mmoja wa marafiki zake

"sina hela shoga angu, ipo kwenye Tigo pesa halafu hamna wakala hapa" alisema Christina ambaye kwa kifupi walizoea kumuita Tina

"sasa sikiliza Tina" shoga mwingine alidakia "mimi mama ameniagiza nimsaidie kupeleka hela yake kwa mama Shanta ningewalipia, hivyo cha muhimu kama unataka kutulipia basi nakupa hizi za mama halafu ulipe ili baadaye tukitoka ukaweze kutoa iliyoko kwenye simu unigee nipeleke nilipoagizwa"

"mmmh sawa" alisema Tina

Basi walifanya kulipia walichokitaka halafu wakaelekea mpaka sehemu ambazo kulikuwa na wavuvi wengi waliokuwa wakivua na walikuwa ni wanaume kama ilivyozoeleka hii kazi wanawake ni mara chache sana

"broo nisevu nipate hii kazi man nina shida sana" alisema kijana mmoja mchafu mchafu sana aliyekuwa akibembeleza kupewa kazi ya uvuvi maana hakuwa na vifaa vya kuvulia. 

"bwana mi sina kazi mzee vipi mbona huelewi?" yule mwenzake alimjibu kwa hasira na kupanda ngalawa wakaanza kuzama katikati ya bahari na kuanza kufanya mambo

Ghafla lilitokea bonge laa nyoka lilikuwa likikatiza mitaa ile, sasa Tina alipoliona aliogopa sana akaanza kukimbia bila kujali anakimbilia wapi. 

Mwisho wa siku alizama hadi kwenye maji baharini

"Nyokaaaa" alisema mmoja wa mashoga zake, ndipo yule kijana alipogeuka na kukutana na bonge la nyoka

Ilibidi yule kijana atafute lirungu halafu akaanza kulikandamiza kichwani joka lile mpaka likafa

"daaah asante kaka yangu" alisema msichana mmoja pale

"usijali" yule kijana alisema huku akiifuta mikono yake na kuanza kutembea. 

"Tina yuko wapi?" alisema msichana mmoja ambaye alikuja na kina Tina 

Wote walishtuka wakaanza kupiga kelele baada ya kumuona Tina akitapatapa kwenye maji, walianza kupiga kelele

"jamani Tina anakufa auwii, Wee kaka njoo msaidie mwenzetu" walisema wakipiga kelele

Yule kijana aliekuwa akitembea aligeuka na kumuona binti huyo Tina akiwa anajaribu kujiokoa kwenye maji lakini anashindwa, ilibidi jamaa avue suruali yake akabaki na bukta la Chelsea halafu akavua tisheti yake na kuingia ndani ya maji kwa ajili ya kwenda kumuokoa binti

Aliogelea mpaka pale binti alipokuwa akitapatapa akaanza kumsaidia kwa kumvutia kifuani mwake. 

Binti yule ambaye alikuwa ameshalegea kwa kunywa maji alijikuta akimuangukia kifuani kijana yule kwa bahati mbaya akajikuta amepitisha mkono kwenye bukta la kijana huyo akakutana na kipande cha ndizi kilichokuwepo ndani. 

Aliutoa mkono wake haraka halafu akajiegesha vizuri ili kijana yule ambebe mpaka kule ufukweni mwa bahari. 

Kweli kijana alimtoa akampeleka nje ya maji na kuanza kumkandamiza tumboni ili atapike maji. 
*
Jioni kila mtu alikuwa amesharudi katika makazi yake ya kudumu Tina bado alikuwa na rafiki yake ambaye alikuwa anaishi kwake kwa muda maana walisoma naye. 

"Shoga yangu ungekufa ujue" alisema binti yule aliyefahamika kwa jina la Jane

"jamani acha tu Jane nimepagawa eti yani sijui hata nilishindwaje kuogelea pale karibu hivyo"

"mi mwenyewe nilishangaa" 

"hivi yule kijana aliyenisaidia ni wa wapi?" Aliuliza

"sijui, itakuwa ndiyo kakuibia simu yako alipokuwa anakuokoa"

"sio kweli haiwezekani" Tina alikata katakata

"kweli vijana wale wahuni sana si unaona hata alivyo mchafu"

"ila kweli Jane, ila haina shida labda ndiyo mshahara wake wa kunikomboa kesho nitanunua nyingine kipindi nikienda kurenew laini yangu?"

"sawa shogaa" Jane alisema

Baadaye walipolala, usiku usingizi ulikuwa wa taabu sana, kila mara Tina alikumbuka jinsi ambavyo kijana yule alivyomuokoa akajikuta anamshukuru kimoyo moyo
'Mungu ampe nguvu apate kazi anayoitaka jamani kaka watu' alitafakari binti kimoyo moyo

Alikumbuka jinsi kijana yule alivyomvuta kwa bahati mbaya akajikuta ameshika pingili ya mua ya kijana yule
'mh mwembamba lakini ana ndizi mshare kabisa jamani' Binti alipata tabu sana kutoka na jinsi jamaa alivyomsaidia 'mmh kesho ntaenda kumuona kama atakuwepo'
Alijikuta amemuwazia mtu ambaye ndiyo mara ya kwanza kumuona yaani mpaka akaaishia usingizini akiwaza imekuwaje kijana yule akajitokeza kama mkombozi.... Je ITAKUWAJE (usikose sehemu ya pili) 

Post a Comment

Previous Post Next Post